Wananchi wa tabaka la chini wazidi kuonewa na umasikini uliokithiri, huku Viongozi wakiendelea kuishi kihafahari kupitia kodi za walala hoi

Wananchi wa tabaka la chini wazidi kuonewa na umasikini uliokithiri, huku Viongozi wakiendelea kuishi kihafahari kupitia kodi za walala hoi

kimbiza CCM madarakani, frustration ndogo ndogo na mambo mengine yata ji seti yenyewe……………...
 
watanzania wenzangu nyinyi ni watu wa ajabu sana...hata juzi nilikuwa nawaambia graduate hakuna mwanasiasa yeyote atakaewaonea huruma....mtu kama mwiguru nchemba akuonee huruma wewe!....hata mama samia ana watu wake na jamaa zake akina Mohammed chongolo ambao yakiwakuta machozi yanamtoka kwa ajili yao sio mimi na wewe....watanzania tuache kulialia ngoma ikiwa ngumu hapa tuhamie sehemu nyingine tukomae mpaka kieleweke......
Mwizukulu Mgikuru[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] one year at the mosque
 
Issue sio elimu yangu ata kama ni duni Lakini naona.

Mimi ningekuwa kiongozi nisingeweza kulala kwa amani kwenye geti la askari wakati mitaa michache na nyumba yangu:

Kuna mama anatandikwa na mumewe

Nipite ferry nione mtoto mdogo sijui analala wapi alawatiwe

Nimuone mtu anaangaika kuuza bidhaa nisitafute mbinu za kuakikisha anapata kula ya uhakika

Nione bidhaa zinapanda niache wakati najua wananchi maskini wanaumia.

Na mambo mengine nisikuongopee mimi kama Kilatha nchi kama hiyo ntapigana mpaka naingia kabulani.

Yaani sitoweza kulala kwa amani kama nipo poa. Na nikisema poa yangu ni hela ya kubadili mboga tu.

Especially kwa watoto wadogo yaani nione mtoto wa mchanga mpaka umri wa miaka 16 analala mtaani mjomba huo ugomvi wake auwezi kuwa mdogo kama nina nafasi; yaani mwili unanisisimuka serious nikifikiria how stupid and vulnerable people are at that age.

Labda mi mwenyewe ningekuwa muokota makopo inawezekana ningekuwa na changamoto zingine; lakini kiongozi siwezi vumilia miaka 800.
Tupo pamoja
 
Afadhali leo nimekuona umeandika kitu positive bila kujali mapenzi na mahaba yako kwa chama...... hongera
Utakuwa unasoma posti zangu ukiwa umevuta,

sina chama, but chaguzi mbili za mwisho nilipigia upinzani.

Kua sasa
 
Honestly kama una ubinadamu na utu, huwezi ku relax ukiwa umezungukwa na watu masikini.

Imagine wewe ni mwalimu wa secondary wa St. Kayumba, maumivu ya kuwaona kila siku watoto wa walala hoi ni makubwa sana, inauma mno. Wakati mwingine hata kuchapa unaona huruma.
Umaskini wa nchi hii unatisha

Nakumbuka kuna siku nimepanda usafiri wa kaka yangu tunatoka Dar tunaelekea Iringa tupo mikumi njiani watoto wadogo kibao kando ya barabara saa 12 alfajiri wanaenda shule namuuliza kulikoni wanyama pori. Ebu tumbebe akaniambia njia nzima imejaa watoto utabeba wangapi wanambinu zao hao.

Sasa jiulize tuna viongozi wengi tu wametokea kwenye shida hizo. Wewe unakuwaje leo comfortable na shida za ulipotokea.

Yaani wewe utoke kwenye shida halafu kijijini, shida za watu maskini unazijuwa badala ya kuwa champion wa watu maskini unafikiria CCM na familia yako.

How are you comfortable with that; anyway binadamu wapo tofauti

Hila kwa mji kama Dar kuona watoto wa mtaani wadogo; halafu tuna viongozi wenye watoto wa lika hilo awajiulizi watoto wadogo wanalala wapi, wanakula nini, usalama wao ukoje zama za leo it’s just appalling mie ata kula ningeshindew kwa aibu (I don’t joke).

Aiwezekani wewe uone mtoto yatima mdogo usishtushwe kama kiongozi. How is that blinding to you wakati wewe umetoka familia maskini.

Yaaani unapita kabisa unaona mtoto wa miaka 3-5 Samora una habari kioo umefunga unakula kiyoyozi kwa amani.

Mmh
 
Bila kichapo kutembea V8 zikawa hazipandiki hatuwezi heshimiana.😂😂😂 yani kinatakiwa kinuke mwanzo mwisho barabara ziwe hazipitiki ni kipigo tu. Uone kama hawajakaa kamati ya maridhiano
Hakika mkuu, mimi nakula nashiba lakini naumia napoona wenzangu wana njaa najikuta machozi yanatoka lakini nashangaa aina ya viongozi wetu mbona hawana huruma.
 
Bila kichapo kutembea V8 zikawa hazipandiki hatuwezi heshimiana.😂😂😂 yani kinatakiwa kinuke mwanzo mwisho barabara ziwe hazipitiki ni kipigo tu. Uone kama hawajakaa kamati ya maridhiano
Hakika mkuu, mimi nakula nashiba lakini naumia napoona wenzangu wana njaa najikuta machozi yanatoka lakini nashangaa aina ya viongozi wetu mbona hawana huruma, wanaendesha maV8 ikiwa watu hawana maji, chakula, vitu havishikiki wapo tu kama mazuzu.
 
Hakika mkuu, mimi nakula nashiba lakini naumia napoona wenzangu wana njaa najikuta machozi yanatoka lakini nashangaa aina ya viongozi wetu mbona hawana huruma, wanaendesha maV8 ikiwa watu hawana maji, chakula, vitu havishikiki wapo tu kama mazuzu.
Mlishaambiwa kila mtu ale urefu wa kamba Yake,hamkuelewa chief?
 
Issue sio elimu yangu ata kama ni duni Lakini naona.

Mimi ningekuwa kiongozi nisingeweza kulala kwa amani kwenye geti la askari wakati mitaa michache na nyumba yangu:

Kuna mama anatandikwa na mumewe

Nipite ferry nione mtoto mdogo sijui analala wapi alawatiwe

Nimuone mtu anaangaika kuuza bidhaa nisitafute mbinu za kuakikisha anapata kula ya uhakika

Nione bidhaa zinapanda niache wakati najua wananchi maskini wanaumia.

Na mambo mengine nisikuongopee mimi kama Kilatha nchi kama hiyo ntapigana mpaka naingia kaburini.

Yaani sitoweza kulala kwa amani kama nipo poa. Na nikisema poa yangu ni hela ya kubadili mboga tu.

Especially kwa watoto wadogo yaani nione mtoto wa mchanga mpaka umri wa miaka 16 analala mtaani mjomba huo ugomvi wake auwezi kuwa mdogo kama nina nafasi; yaani mwili unanisisimuka serious nikifikiria how stupid and vulnerable people are at that age.

Labda mi mwenyewe ningekuwa muokota makopo inawezekana ningekuwa na changamoto zingine; lakini kiongozi siwezi vumilia miaka 800.
We ni kiongozi haswa
 
Brother uongozi ni kitu kigumu sana na pia ni kitu kirahisi sana inategemea na vitu vingi ili kuwa rahisi au kuwa vigumu..

Africa na Tanzania, tunajikita sana kuwalaumu viongozi wetu lakini pia tunasahau maendeleo sio jambo la mchezo mchezo na linahitaji nguvu na akili za watu wooote. JE WATU WOTE WAKO TAYARI KUWEKEZA NGUVU NA AKILI ZAO KWA MUDA MREFU ILI MAENDELEO YAJE KWA MANUFAA YA VIZAZI VIJAVYO?..

Ulaya na America hasa USA hazikuendelea kwa sababu ya akili na nguvu ya mtu mmoja na bado ziaendelea pia sio kwa sababu na akili ya mtu mmoja bali ni KUJITOA (sucrifice ) ya watu wengi wenye lengo moja...

Historia ya Ulaya na USA kufikia maendeleo inapaswa kutupa somo kubwa sana WaAfrica kabla ya kuanza kulaumia wakati hata sisi tunaolaumu hatutimiza wajibu wetu..

JPM akiwa Rais alijaribu kuleta utawala wa kinyapara aka man to man (japo alikuwa na mapungufu yake) ili kila mtu sasa ashiliki kufanya kazi na kuwa na lengo moja kama Taifa, maendeleo maendeleo, kwa wakati huu WaAfrica wanahitaji ukatili ili wajenge nchi zao na then huko mbele woote watajifunza na kukaa kwenye mstari lakini ZILISIKIKA KELELE KILA KONA ZA NCHI NA DUNIA..

Samahani kama niko nje ya maada.
Utafanyaje kazi wakati mazingira hayajawa rafiki?Kwa mfano mm nimelima mazao yangu kwa gharama zangu mwisho was siku serikali inaingilia uuzaji,naona ng'ambo Kuna solo Bora Ila nakataliwa au nakamatwa Sasa hapo tutafanyaje maendeleo.
 
Brother uongozi ni kitu kigumu sana na pia ni kitu kirahisi sana inategemea na vitu vingi ili kuwa rahisi au kuwa vigumu..

Africa na Tanzania, tunajikita sana kuwalaumu viongozi wetu lakini pia tunasahau maendeleo sio jambo la mchezo mchezo na linahitaji nguvu na akili za watu wooote. JE WATU WOTE WAKO TAYARI KUWEKEZA NGUVU NA AKILI ZAO KWA MUDA MREFU ILI MAENDELEO YAJE KWA MANUFAA YA VIZAZI VIJAVYO?..

Ulaya na America hasa USA hazikuendelea kwa sababu ya akili na nguvu ya mtu mmoja na bado ziaendelea pia sio kwa sababu na akili ya mtu mmoja bali ni KUJITOA (sucrifice ) ya watu wengi wenye lengo moja... Historia ya Ulaya na USA kufikia maendeleo inapaswa kutupa somo kubwa sana WaAfrica kabla ya kuanza kulaumia wakati hata sisi tunaolaumu hatutimiza wajibu wetu..

JPM akiwa Rais alijaribu kuleta utawala wa kinyapara aka man to man (japo alikuwa na mapungufu yake) ili kila mtu sasa ashiliki kufanya kazi na kuwa na lengo moja kama Taifa, maendeleo maendeleo, kwa wakati huu WaAfrica wanahitaji ukatili ili wajenge nchi zao na then huko mbele woote watajifunza na kukaa kwenye mstari lakini ZILISIKIKA KELELE KILA KONA ZA NCHI NA DUNIA..

Samahani kama niko nje ya maada.
Watu wengi wenye lengo moja, umeongea pointi ya msingi Sana!

Kuangushwa Kwa tawala za kinyonyaji na kifalme Ulaya,

Au American civil war!
 
Back
Top Bottom