KERO Wananchi wa Ubungo hatuna maji miezi 3 sasa!!

KERO Wananchi wa Ubungo hatuna maji miezi 3 sasa!!

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Superleta

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
575
Reaction score
655
Mheshimiwa Rais popote ulipo, na mheshimiwa Awesso, ni miezi mitatu sasa hatujui maji wakazi wa Ubungo Kibangu mtaa wa Kajima tunaomba msaada wenu viongozi wetu hali ni mbaya sana.

Tuna miezi mitatu hatuna maji

Eneo ni kajima (Rivaside juu) mtaa wa Kibangu Ubungo
Eneo hili ni kubwa kuanzia Novo, kwa mdee, kwa mgogo, Kwa mlacha, kilima cha lami, bonde la kajima, na kwa bondia hii mitaa yote hamna maji kabisa

Mfano, Novo magorofani na mpaka kwa mdee wao wa miezi 6 hawajawahi kuona maji.

Maji hayatoki lakini watu wanauza maji na kuleta na magari na kuyauza kwa ndoo 500

Tumelalamika tumechoka inaonekana kuna mfumo wa watu kula hela na kujineemesha

Kipindi cha Magufuli maji yalikua yakitoka

Sio hivyo tu, wameleta matank ya kuuza maji na inadaiwa na miradi ya mheshimiwa fulani hivi

Naombeni mnisaidie namba ya Aweso tumechoka!!
 
Mheshimiwa Rais popote ulipo, na mheshimiwa Awesso, ni miezi mitatu sasa hatujui maji wakazi wa Ubungo Kibangu mtaa wa Kajima tunaomba msaada wenu viongozi wetu hali ni mbaya sana.

Tuna miezi mitatu hatuna maji

Eneo ni kajima (Rivaside juu) mtaa wa Kibangu Ubungo
Eneo hili ni kubwa kuanzia Novo, kwa mdee, kwa mgogo, Kwa mlacha, kilima cha lami, bonde la kajima, na kwa bondia hii mitaa yote hamna maji kabisa

Mfano, Novo magorofani na mpaka kwa mdee wao wa miezi 6 hawajawahi kuona maji.

Maji hayatoki lakini watu wanauza maji na kuleta na magari na kuyauza kwa ndoo 500

Tumelalamika tumechoka inaonekana kuna mfumo wa watu kula hela na kujineemesha

Kipindi cha Magufuli maji yalikua yakitoka

Sio hivyo tu, wameleta matank ya kuuza maji na inadaiwa na miradi ya mheshimiwa fulani hivi

Naombeni mnisaidie namba ya Aweso tumechoka!!
Poleni ila hayo ni madhara ya CCM kubaki madarakani wenyewe, baada ya uchaguzi ndio mambo yatakuwa magumu zaidi.
 
Mheshimiwa Rais popote ulipo, na mheshimiwa Awesso, ni miezi mitatu sasa hatujui maji wakazi wa Ubungo Kibangu mtaa wa Kajima tunaomba msaada wenu viongozi wetu hali ni mbaya sana.

Tuna miezi mitatu hatuna maji

Eneo ni kajima (Rivaside juu) mtaa wa Kibangu Ubungo
Eneo hili ni kubwa kuanzia Novo, kwa mdee, kwa mgogo, Kwa mlacha, kilima cha lami, bonde la kajima, na kwa bondia hii mitaa yote hamna maji kabisa

Mfano, Novo magorofani na mpaka kwa mdee wao wa miezi 6 hawajawahi kuona maji.

Maji hayatoki lakini watu wanauza maji na kuleta na magari na kuyauza kwa ndoo 500

Tumelalamika tumechoka inaonekana kuna mfumo wa watu kula hela na kujineemesha

Kipindi cha Magufuli maji yalikua yakitoka

Sio hivyo tu, wameleta matank ya kuuza maji na inadaiwa na miradi ya mheshimiwa fulani hivi

Naombeni mnisaidie namba ya Aweso tumechoka!!
Hakikisha umemweka mbunge wako kwenye crosshairs, kwasababu ameshindwa kupaza sauti kwa niaba ya wapigakura wake!
 
Miezi mi3 mnapiga kelele, kigamboni toka miaka ya 2000 mpaka leo hii ni mwendo wa kisima nyumbani kwako..
Chimbeni visima, mkitarajia SIRIKALI ya FISIEM iwasaidie mtaula wa chuya, sirikali haina la maana, badala ya kuondoa kero wao wamegeuka kuwa kero.
 
Mkuu huku visima vyote havitoi maji baridi vinatoa maji ya chumvi
Miezi mi3 mnapiga kelele, kigamboni toka miaka ya 2000 mpaka leo hii ni mwendo wa kisima nyumbani kwako..
Chimbeni visima, mkitarajia SIRIKALI ya FISIEM iwasaidie mtaula wa chuya, sirikali haina la maana, badala ya kuondoa kero wao wamegeuka kuwa kero.
 
Serikari haina huruma subilini mbunge aje awadanganye mpe kura apotee tena mpaka 2030
 
20250212_001112.jpg
 
Mbunge wa chama pendwa hana muda na hizo mambo zenu mchagueni tena 2025 mnywe matope.

Kila jambo ni jambo!
 
Mheshimiwa Rais popote ulipo, na mheshimiwa Awesso, ni miezi mitatu sasa hatujui maji wakazi wa Ubungo Kibangu mtaa wa Kajima tunaomba msaada wenu viongozi wetu hali ni mbaya sana.

Tuna miezi mitatu hatuna maji

Eneo ni kajima (Rivaside juu) mtaa wa Kibangu Ubungo
Eneo hili ni kubwa kuanzia Novo, kwa mdee, kwa mgogo, Kwa mlacha, kilima cha lami, bonde la kajima, na kwa bondia hii mitaa yote hamna maji kabisa

Mfano, Novo magorofani na mpaka kwa mdee wao wa miezi 6 hawajawahi kuona maji.

Maji hayatoki lakini watu wanauza maji na kuleta na magari na kuyauza kwa ndoo 500

Tumelalamika tumechoka inaonekana kuna mfumo wa watu kula hela na kujineemesha

Kipindi cha Magufuli maji yalikua yakitoka

Sio hivyo tu, wameleta matank ya kuuza maji na inadaiwa na miradi ya mheshimiwa fulani hivi

Naombeni mnisaidie namba ya Aweso tumechoka!!
Tulishakubaliana kuchimba visima. Tuliipenda wenyewe 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom