Superleta
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 575
- 655
Mheshimiwa Rais popote ulipo, na mheshimiwa Awesso, ni miezi mitatu sasa hatujui maji wakazi wa Ubungo Kibangu mtaa wa Kajima tunaomba msaada wenu viongozi wetu hali ni mbaya sana.
Tuna miezi mitatu hatuna maji
Eneo ni kajima (Rivaside juu) mtaa wa Kibangu Ubungo
Eneo hili ni kubwa kuanzia Novo, kwa mdee, kwa mgogo, Kwa mlacha, kilima cha lami, bonde la kajima, na kwa bondia hii mitaa yote hamna maji kabisa
Mfano, Novo magorofani na mpaka kwa mdee wao wa miezi 6 hawajawahi kuona maji.
Maji hayatoki lakini watu wanauza maji na kuleta na magari na kuyauza kwa ndoo 500
Tumelalamika tumechoka inaonekana kuna mfumo wa watu kula hela na kujineemesha
Kipindi cha Magufuli maji yalikua yakitoka
Sio hivyo tu, wameleta matank ya kuuza maji na inadaiwa na miradi ya mheshimiwa fulani hivi
Naombeni mnisaidie namba ya Aweso tumechoka!!
Tuna miezi mitatu hatuna maji
Eneo ni kajima (Rivaside juu) mtaa wa Kibangu Ubungo
Eneo hili ni kubwa kuanzia Novo, kwa mdee, kwa mgogo, Kwa mlacha, kilima cha lami, bonde la kajima, na kwa bondia hii mitaa yote hamna maji kabisa
Mfano, Novo magorofani na mpaka kwa mdee wao wa miezi 6 hawajawahi kuona maji.
Maji hayatoki lakini watu wanauza maji na kuleta na magari na kuyauza kwa ndoo 500
Tumelalamika tumechoka inaonekana kuna mfumo wa watu kula hela na kujineemesha
Kipindi cha Magufuli maji yalikua yakitoka
Sio hivyo tu, wameleta matank ya kuuza maji na inadaiwa na miradi ya mheshimiwa fulani hivi
Naombeni mnisaidie namba ya Aweso tumechoka!!