Wananchi wajipanga kumzomea Wallace Karia Uwanjani , Ujinga wake wa kumtukana Tundu Lissu wamponza

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ni taarifa ambayo tayari imezagaa mitaa yote ya Temeke , maeneo ya Chuo kikuu DUCE na Bar zote zinazozunguka Uwanja wa Taifa .

Tukio hili laweza kuwa onyo na angalizo kwa viongozi wengine wa soka wanaoingiza itikadi za kishamba za vyama vyao vya siasa kwenye masuala muhimu na nyeti ya Soka , Soka na michezo mingine ndio eneo pekee.ambalo watu wa itikadi tofauti wanakutana , kuingiza masuala ya kisiasa ni sawa na kutaka kuleta vurugu kwa makusudi
 
Tunatuma wapi hela ya mchango mkuu?
 
Asiende kuitia najisi Kariakoo derby. Hivi hamma Mogadishu derby aende huko?
 
Frank Wanjiru tungependa kusikia msimamo wako kwenye hili , usimba wako usikupofushe macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…