Wananchi wajipanga kumzomea Wallace Karia Uwanjani , Ujinga wake wa kumtukana Tundu Lissu wamponza

Vipi mkuu karia kakuchukulia make nini? Maana umemwandama sana! Halafu alikuwepo uwanjani lkn mbona hiyo zomea hatujaiona?
 
Huyo karia mjinga mjinga sana nimemsikia kauli zake kadhaa!!anataka kuhusisha sana tff na utawala wa jpm huku akitaka kama kuifanya tff ya ccm!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…