Wananchi wakaidi agizo la mbunge kubomoa Nyumba zao Sengerema

Wananchi wakaidi agizo la mbunge kubomoa Nyumba zao Sengerema

KASHABALE

Member
Joined
Mar 27, 2024
Posts
64
Reaction score
53
Wananchi wa Jimbo la Sengerema kata ya KISHINDA Kijiji cha TUNYENYE wamekaidi agizo la Mheshimiwa Mbunge wao Ndugu Hamis Tabasamu Mwagao kubomoa Nyumba zao kwa hiari.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa,kuna upanuzi wa barabara inayoendelezwa na (TANROADS)ambayo ilikuwa chini ya TARURA. Hivyo Mbunge alifika kijinini hapo mnamo tarehe 31-12-2023, na kuanza kuweka alama ya ( x ) kwenye majengo na baadhi ya Fremu za biashara kijijini hapo. Jambo ambalo lilileta taharuki miongoni mwa wananchi ambao ni wamiliki wa majengo hayo.

Kwa upande wa wananchi wao wanachodai ni kulipwa fidia ilimradi wapishe mradi huo na wala si kupinga maendeleo kwani wanaona juhudi Za Rais Samia Katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo.

Mbunge huyo akiwa Katika ziara ya kikazi alipita kijijini hapo,ndipo mwenyekiti wa Kijiji hicho alipata nafasi ya kumuuliza kuhusu taharuki hiyo na Mheshimiwa Mbunge alinukuliwa akisema kuwa "Wananchi hamtalipwa fidia kwani hii ni miradi ya Maendeleo,hivyo mnatakiwa mbomoe Nyumba zenu kwa hiari tofauti na hivyo tutabomoa kwa kutumia Greda/Skaveta na gharama juu.
 
Wananchi wa Jimbo la Sengerema kata ya KISHINDA Kijiji cha TUNYENYE wamekaidi agizo la Mheshimiwa Mbunge wao Ndugu Hamis Tabasamu Mwagao kubomoa Nyumba zao kwa hiari.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa,kuna upanuzi wa barabara inayoendelezwa na (TANROADS)ambayo ilikuwa chini ya TARURA. Hivyo Mbunge alifika kijinini hapo mnamo tarehe 31-12-2023, na kuanza kuweka alama ya ( x ) kwenye majengo na baadhi ya Fremu za biashara kijijini hapo. Jambo ambalo lilileta taharuki miongoni mwa wananchi ambao ni wamiliki wa majengo hayo.

Kwa upande wa wananchi wao wanachodai ni kulipwa fidia ilimradi wapishe mradi huo na wala si kupinga maendeleo kwani wanaona juhudi Za Rais Samia Katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo.

Mbunge huyo akiwa Katika ziara ya kikazi alipita kijijini hapo,ndipo mwenyekiti wa Kijiji hicho alipata nafasi ya kumuuliza kuhusu taharuki hiyo na Mheshimiwa Mbunge alinukuliwa akisema kuwa "Wananchi hamtalipwa fidia kwani hii ni miradi ya Maendeleo,hivyo mnatakiwa mbomoe Nyumba zenu kwa hiari tofauti na hivyo tutabomoa kwa kutumia Greda/Skaveta na gharama juu.
Alipita lini mkuu
 
Wananchi wa Jimbo la Sengerema kata ya KISHINDA Kijiji cha TUNYENYE wamekaidi agizo la Mheshimiwa Mbunge wao Ndugu Hamis Tabasamu Mwagao kubomoa Nyumba zao kwa hiari.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa,kuna upanuzi wa barabara inayoendelezwa na (TANROADS)ambayo ilikuwa chini ya TARURA. Hivyo Mbunge alifika kijinini hapo mnamo tarehe 31-12-2023, na kuanza kuweka alama ya ( x ) kwenye majengo na baadhi ya Fremu za biashara kijijini hapo. Jambo ambalo lilileta taharuki miongoni mwa wananchi ambao ni wamiliki wa majengo hayo.

Kwa upande wa wananchi wao wanachodai ni kulipwa fidia ilimradi wapishe mradi huo na wala si kupinga maendeleo kwani wanaona juhudi Za Rais Samia Katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo.

Mbunge huyo akiwa Katika ziara ya kikazi alipita kijijini hapo,ndipo mwenyekiti wa Kijiji hicho alipata nafasi ya kumuuliza kuhusu taharuki hiyo na Mheshimiwa Mbunge alinukuliwa akisema kuwa "Wananchi hamtalipwa fidia kwani hii ni miradi ya Maendeleo,hivyo mnatakiwa mbomoe Nyumba zenu kwa hiari tofauti na hivyo tutabomoa kwa kutumia Greda/Skaveta na gharama juu.
Alipita lini...?
 
Mheshimiwa ni mtu mkubwa sana,jimboni kwetu.Hivyo atakachokiamua yeye wote mfuate.Lakini hapa kagonga Mwamba,maana toka atoe tamko Hilo mnamo tarehe 31-12-2023,mpaka leo Wananchi wametulia tuli Kama maji kwenye mtungi.Kilichobaki haponi alama tu za( x)ambazo aliziweka yeye maana aliwapa notisi ya siku Thelathini( 30).Kwa maana hiyo walitakiwa wabomoe Nyumba zao mnamo tarehe 30-12-2024,kitu ambacho mpaka Sasa wananchi hawajakitekeleza.
 
Wananchi wa Jimbo la Sengerema kata ya KISHINDA Kijiji cha TUNYENYE wamekaidi agizo la Mheshimiwa Mbunge wao Ndugu Hamis Tabasamu Mwagao kubomoa Nyumba zao kwa hiari.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa,kuna upanuzi wa barabara inayoendelezwa na (TANROADS)ambayo ilikuwa chini ya TARURA. Hivyo Mbunge alifika kijinini hapo mnamo tarehe 31-12-2023, na kuanza kuweka alama ya ( x ) kwenye majengo na baadhi ya Fremu za biashara kijijini hapo. Jambo ambalo lilileta taharuki miongoni mwa wananchi ambao ni wamiliki wa majengo hayo.

Kwa upande wa wananchi wao wanachodai ni kulipwa fidia ilimradi wapishe mradi huo na wala si kupinga maendeleo kwani wanaona juhudi Za Rais Samia Katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo.

Mbunge huyo akiwa Katika ziara ya kikazi alipita kijijini hapo,ndipo mwenyekiti wa Kijiji hicho alipata nafasi ya kumuuliza kuhusu taharuki hiyo na Mheshimiwa Mbunge alinukuliwa akisema kuwa "Wananchi hamtalipwa fidia kwani hii ni miradi ya Maendeleo,hivyo mnatakiwa mbomoe Nyumba zenu kwa hiari tofauti na hivyo tutabomoa kwa kutumia Greda/Skaveta na gharama juu.
Mbunge ana mamlaka yapi ya kutoa maagizo?
 
Mheshimiwa ni mtu mkubwa sana,jimboni kwetu.Hivyo atakachokiamua yeye wote mfuate.Lakini hapa kagonga Mwamba,maana toka atoe tamko Hilo mnamo tarehe 31-12-2023,mpaka leo Wananchi wametulia tuli Kama maji kwenye mtungi.Kilichobaki haponi alama tu za( x)ambazo aliziweka yeye maana aliwapa notisi ya siku Thelathini( 30).Kwa maana hiyo walitakiwa wabomoe Nyumba zao mnamo tarehe 30-12-2024,kitu ambacho mpaka Sasa wananchi hawajakitekeleza.

Sasa hiyo tarehe si bado haijafika?
 
Tabasamu ndo awachimbe mkwara na wakati uchaguzi unaendelea?

Mbunge nje ya bunge ni kama diwani tu. Hana nguvu yoyote
 
Ubunge hajachoka,Lakini kwa mtazamo wake anatafuta umaarufu ndani ya Muda mfupi kuwa yeye ni mpambanaji jimboni kwake.
 
Back
Top Bottom