Wananchi wako busy na usajili wa Simba na Yanga, wanasiasa tumieni huu muda kusaka pesa za kampeni

Watu mitaani ni ubishi kubishana na mausajili 😄

Ova
 
Bahati haiji mara mbili.
Wananchi wako busy kujadili usajili wa Simba na Yanga please huu muda muutumie ipasavyo kukusanya fedha za uchaguzi ili muhakikishe mnaendelea kula mema ya nchi.
Sawa
 
Mchawi mpe mwanao akulekee, si hata hizo pesa za usajili ni za wanasiasa ambazo ndo za mimi na wewe yani kodi zetu.

Mpira wa tz ni Siasa mbadala inayoliangamiza taifa hili.
 
Mchawi mpe mwanao akulekee, si hata hizo pesa za usajili ni za wanasiasa ambazo ndo za mimi na wewe yani kodi zetu.

Mpira wa tz ni Siasa mbadala inayoliangamiza taifa hili.
Kwahiyo CCM wana fungu Simba na Yanga la kuwahadaa wananchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…