Ndio mana nakuuliza unaropoka au unafikiria? Huo mwenge ushawahi ona watu wanakubali kuchangia au wanalazimishwa walimu kuchangia? , Binafsi sijawahi changia mwenge, kama mnataka sana hio tume huru toeni hela zenu sio kuleta michango isiyo na kichwa wala miguusasa kama unachangia ujinga wa Mwenge utashindwaje kuchangia Tume huru ?
Mimi nikiwemoHapa hoja ya msingi ni wakurugenzi kuingia kwenye mtego wa Mgongano wa kimaslahi kwenye uchaguzi. Hii ni pamoja na Rais mwenyewe,Wabunge na Madiwani.iwapo wataachwa waendelee kusimamia kuna uwezekano wa wananchi wengi kutopiga kura.
Kwa mantiki hiyo, utakuwa ni ujinga tu kuwaachia tume kuchangiwa na Wananchi kama waumini wanavyochangia kwa manabii uchwara.sasa kama unachangia ujinga wa Mwenge utashindwaje kuchangia Tume huru ?
Nyumbu tu ndio watakakuelewa.Baada ya mivutano ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba kuhusu Tume ya Uchaguzi kuajiri wafanyakazi wake yenyewe , badala ya kutegemea Makada wa ccm wale Wakurugenzi wa Halmashauri , Tuliamua kufanya Utafiti mdogo mitaani .
Kiukweli Wananchi wanapinga kabisa Wakurugenzi kusimamia uchaguzi , hii ni kwa sababu wakurugenzi hao ni Makada halisi wa CCM na ni Wafia Chama .
Hata hivyo wananchi wameahidi kwamba wako tayari kuchangia mishahara ya Wafanyakazi wapya wa Tume kwa uaminifu kama vile wanavyochangia Mbio za mwenge milele na milele , kwa hiyo visingixio vyovyote vya kukwepa jambo hili kwa sababu ya ukosefu wa fedha havitakubalika .
Hamad Rashid yule ni ndumila kuwili maana hachelewi kuwageuka wenzakeJana nimeangali mdajala wa TBC Benson Kigaiga, Wasira, Hamad Rashid na Doroth wa ACT ulikuwa ni mjadala bora sn
Yaani wewe aliyekuroga kashakufaKama tunavyochangia join the chain vikoba saccos ufipa!
Mmeshindwa kuchangia +255 mtawezaBaada ya mivutano ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba kuhusu Tume ya Uchaguzi kuajiri wafanyakazi wake yenyewe , badala ya kutegemea Makada wa ccm wale Wakurugenzi wa Halmashauri , Tuliamua kufanya Utafiti mdogo mitaani .
Kiukweli Wananchi wanapinga kabisa Wakurugenzi kusimamia uchaguzi , hii ni kwa sababu wakurugenzi hao ni Makada halisi wa CCM na ni Wafia Chama .
Hata hivyo wananchi wameahidi kwamba wako tayari kuchangia mishahara ya Wafanyakazi wapya wa Tume kwa uaminifu kama vile wanavyochangia Mbio za mwenge milele na milele , kwa hiyo visingixio vyovyote vya kukwepa jambo hili kwa sababu ya ukosefu wa fedha havitakubalika .
NdioBakuli la kukimbiza mwenge huwa linakuja hadi ufipa mnachangia?
Swali la mwisho , Je unataka kuwe na Tume huru ya Uchaguzi ?Ndio mana nakuuliza unaropoka au unafikiria? Huo mwenge ushawahi ona watu wanakubali kuchangia au wanalazimishwa walimu kuchangia? , Binafsi sijawahi changia mwenge, kama mnataka sana hio tume huru toeni hela zenu sio kuleta michango isiyo na kichwa wala miguu
Awageuke mara ngapi ?Hamad Rashid yule ni ndumila kuwili maana hachelewi kuwageuka wenzake
I don't care about it, hizi kelele za tume huru ni njaa tu za watu kupata mkate wao, na wala sio kwa ajiili ya maendeleo ya wote,Swali la mwisho , Je unataka kuwe na Tume huru ya Uchaguzi ?
Basi nishakuelewa .I don't care about it, hizi kelele za tume huru ni njaa tu za watu kupata mkate wao, na wala sio kwa ajiili ya maendeleo ya wote,
Mkuu usi panic na huyo mtandika kitanda wa Mbowe. Hana lolote yeye anajua join the chain wagawane na hana uwezo wowote wa kuleta michango anayosema. Ni chawa pro max.Ndio mana nakuuliza unaropoka au unafikiria? Huo mwenge ushawahi ona watu wanakubali kuchangia au wanalazimishwa walimu kuchangia? , Binafsi sijawahi changia mwenge, kama mnataka sana hio tume huru toeni hela zenu sio kuleta michango isiyo na kichwa wala miguu
Wananchi wa MwakaleliBaada ya mivutano ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba kuhusu Tume ya Uchaguzi kuajiri wafanyakazi wake yenyewe , badala ya kutegemea Makada wa ccm wale Wakurugenzi wa Halmashauri , Tuliamua kufanya Utafiti mdogo mitaani .
Kiukweli Wananchi wanapinga kabisa Wakurugenzi kusimamia uchaguzi , hii ni kwa sababu wakurugenzi hao ni Makada halisi wa CCM na ni Wafia Chama .
Hata hivyo wananchi wameahidi kwamba wako tayari kuchangia mishahara ya Wafanyakazi wapya wa Tume kwa uaminifu kama vile wanavyochangia Mbio za mwenge milele na milele , kwa hiyo visingixio vyovyote vya kukwepa jambo hili kwa sababu ya ukosefu wa fedha havitakubalika .
Karibu sana MkuuWananchi wa Mwakaleli
Hata jana alikuwa anasifia pekee hakuna point hata moja bora ya Wasira alikuwa anajenga point, Hamad utadhani yeye ndiyo CCM. Shame on himHamad Rashid yule ni ndumila kuwili maana hachelewi kuwageuka wenzake
Hamad Rashid ni miongoni mwa waasisi wa UsalitiHata jana alikuwa anasifia pekee hakuna point hata moja bora ya Wasira alikuwa anajenga point, Hamad utadhani yeye ndiyo CCM. Shame on him
wachaga mmeshabuni ulaji. Maana wabarikiwa mmebuni ulaji kwenye vifo, kwenye harusi, sijuwi kipaimara na kila aina ya mkusanyiko, uwe wa furaha au huzuni. Sasa mnaingiza ubunifu wenu wa kutafuta pesa kwa njia yoyote ile kwenye siasa.Baada ya mivutano ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba kuhusu Tume ya Uchaguzi kuajiri wafanyakazi wake yenyewe , badala ya kutegemea Makada wa ccm wale Wakurugenzi wa Halmashauri , Tuliamua kufanya Utafiti mdogo mitaani .
Kiukweli Wananchi wanapinga kabisa Wakurugenzi kusimamia uchaguzi , hii ni kwa sababu wakurugenzi hao ni Makada halisi wa CCM na ni Wafia Chama .
Hata hivyo wananchi wameahidi kwamba wako tayari kuchangia mishahara ya Wafanyakazi wapya wa Tume kwa uaminifu kama vile wanavyochangia Mbio za mwenge milele na milele , kwa hiyo visingixio vyovyote vya kukwepa jambo hili kwa sababu ya ukosefu wa fedha havitakubalika .
Ukabila unakudhalilisha sana !wachaga mmeshabuni ulaji. Maana wabarikiwa mmebuni ulaji kwenye vifo, kwenye harusi, sijuwi kipaimara na kila aina ya mkusanyiko, uwe wa furaha au huzuni. Sasa mnaingiza ubunifu wenu wa kutafuta pesa kwa njia yoyote ile kwenye siasa.
Mmeniwacha hoi.