Pre GE2025 Wananchi wako tayari kuchangia mishahara ya Wafanyakazi wa Tume Huru kama wanavyochangia mbio za mwenge

Pre GE2025 Wananchi wako tayari kuchangia mishahara ya Wafanyakazi wa Tume Huru kama wanavyochangia mbio za mwenge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
sasa kama unachangia ujinga wa Mwenge utashindwaje kuchangia Tume huru ?
Ndio mana nakuuliza unaropoka au unafikiria? Huo mwenge ushawahi ona watu wanakubali kuchangia au wanalazimishwa walimu kuchangia? , Binafsi sijawahi changia mwenge, kama mnataka sana hio tume huru toeni hela zenu sio kuleta michango isiyo na kichwa wala miguu
 
Hapa hoja ya msingi ni wakurugenzi kuingia kwenye mtego wa Mgongano wa kimaslahi kwenye uchaguzi. Hii ni pamoja na Rais mwenyewe,Wabunge na Madiwani.iwapo wataachwa waendelee kusimamia kuna uwezekano wa wananchi wengi kutopiga kura.
Mimi nikiwemo
 
Baada ya mivutano ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba kuhusu Tume ya Uchaguzi kuajiri wafanyakazi wake yenyewe , badala ya kutegemea Makada wa ccm wale Wakurugenzi wa Halmashauri , Tuliamua kufanya Utafiti mdogo mitaani .

Kiukweli Wananchi wanapinga kabisa Wakurugenzi kusimamia uchaguzi , hii ni kwa sababu wakurugenzi hao ni Makada halisi wa CCM na ni Wafia Chama .

Hata hivyo wananchi wameahidi kwamba wako tayari kuchangia mishahara ya Wafanyakazi wapya wa Tume kwa uaminifu kama vile wanavyochangia Mbio za mwenge milele na milele , kwa hiyo visingixio vyovyote vya kukwepa jambo hili kwa sababu ya ukosefu wa fedha havitakubalika .
Nyumbu tu ndio watakakuelewa.
 
Baada ya mivutano ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba kuhusu Tume ya Uchaguzi kuajiri wafanyakazi wake yenyewe , badala ya kutegemea Makada wa ccm wale Wakurugenzi wa Halmashauri , Tuliamua kufanya Utafiti mdogo mitaani .

Kiukweli Wananchi wanapinga kabisa Wakurugenzi kusimamia uchaguzi , hii ni kwa sababu wakurugenzi hao ni Makada halisi wa CCM na ni Wafia Chama .

Hata hivyo wananchi wameahidi kwamba wako tayari kuchangia mishahara ya Wafanyakazi wapya wa Tume kwa uaminifu kama vile wanavyochangia Mbio za mwenge milele na milele , kwa hiyo visingixio vyovyote vya kukwepa jambo hili kwa sababu ya ukosefu wa fedha havitakubalika .
Mmeshindwa kuchangia +255 mtaweza
 
Ndio mana nakuuliza unaropoka au unafikiria? Huo mwenge ushawahi ona watu wanakubali kuchangia au wanalazimishwa walimu kuchangia? , Binafsi sijawahi changia mwenge, kama mnataka sana hio tume huru toeni hela zenu sio kuleta michango isiyo na kichwa wala miguu
Swali la mwisho , Je unataka kuwe na Tume huru ya Uchaguzi ?
 
Ndio mana nakuuliza unaropoka au unafikiria? Huo mwenge ushawahi ona watu wanakubali kuchangia au wanalazimishwa walimu kuchangia? , Binafsi sijawahi changia mwenge, kama mnataka sana hio tume huru toeni hela zenu sio kuleta michango isiyo na kichwa wala miguu
Mkuu usi panic na huyo mtandika kitanda wa Mbowe. Hana lolote yeye anajua join the chain wagawane na hana uwezo wowote wa kuleta michango anayosema. Ni chawa pro max.
 
Baada ya mivutano ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba kuhusu Tume ya Uchaguzi kuajiri wafanyakazi wake yenyewe , badala ya kutegemea Makada wa ccm wale Wakurugenzi wa Halmashauri , Tuliamua kufanya Utafiti mdogo mitaani .

Kiukweli Wananchi wanapinga kabisa Wakurugenzi kusimamia uchaguzi , hii ni kwa sababu wakurugenzi hao ni Makada halisi wa CCM na ni Wafia Chama .

Hata hivyo wananchi wameahidi kwamba wako tayari kuchangia mishahara ya Wafanyakazi wapya wa Tume kwa uaminifu kama vile wanavyochangia Mbio za mwenge milele na milele , kwa hiyo visingixio vyovyote vya kukwepa jambo hili kwa sababu ya ukosefu wa fedha havitakubalika .
Wananchi wa Mwakaleli
 
Baada ya mivutano ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba kuhusu Tume ya Uchaguzi kuajiri wafanyakazi wake yenyewe , badala ya kutegemea Makada wa ccm wale Wakurugenzi wa Halmashauri , Tuliamua kufanya Utafiti mdogo mitaani .

Kiukweli Wananchi wanapinga kabisa Wakurugenzi kusimamia uchaguzi , hii ni kwa sababu wakurugenzi hao ni Makada halisi wa CCM na ni Wafia Chama .

Hata hivyo wananchi wameahidi kwamba wako tayari kuchangia mishahara ya Wafanyakazi wapya wa Tume kwa uaminifu kama vile wanavyochangia Mbio za mwenge milele na milele , kwa hiyo visingixio vyovyote vya kukwepa jambo hili kwa sababu ya ukosefu wa fedha havitakubalika .
wachaga mmeshabuni ulaji. Maana wabarikiwa mmebuni ulaji kwenye vifo, kwenye harusi, sijuwi kipaimara na kila aina ya mkusanyiko, uwe wa furaha au huzuni. Sasa mnaingiza ubunifu wenu wa kutafuta pesa kwa njia yoyote ile kwenye siasa.

Mmeniwacha hoi.
 
wachaga mmeshabuni ulaji. Maana wabarikiwa mmebuni ulaji kwenye vifo, kwenye harusi, sijuwi kipaimara na kila aina ya mkusanyiko, uwe wa furaha au huzuni. Sasa mnaingiza ubunifu wenu wa kutafuta pesa kwa njia yoyote ile kwenye siasa.

Mmeniwacha hoi.
Ukabila unakudhalilisha sana !
 
Back
Top Bottom