JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Wananchi wa Nyamisati wilayani Rufiji wamelalamika kukosa usafiri kwa takribani siku 3 wa kuwapeleka kisiwani Mafia hivyo kusababisha mlundikano ambao wanahofia unaweza pelekea maambukizi ya #coronavirus
> Aidha, wamedai kuishiwa pesa za matumizi
> Wanahoji Serikali iko wapi na hata kusahau kabisa?
Upvote
0