JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Daraja hilo halijatengenezwa bali limeweka la muda hali ambayo imekuwa ikiwapa changamoto Wananchi wengi ambao wanalazimia kupita chini ya daraja pindi wanapokuwa na mizigo mizito huku vyombo vya usafiri navyo vikishindwa kupita katika njia hiyo.
Wananchi wameomba Serikali ichukuwe taadhari kabla ya Mvua kubwa El Nino azijaanza,