Wananchi wamesusa mapokezi ya Lissu. CHADEMA imefeli

KWANI KESHAKUJA? Maana kama muda anaokuja unajulikana, halafu bado haujafika, ya nini kujaa saa hizi?
 
Countrywide, nadhani ana asili ya umbea na majungu. Lolote analolileta ni la kupuuza. Haaminiki kwa lolote.
 
maisha yenyewe magumu
watu wapo busy kusaka tonge
hawana muda wa kupoteza
 
Ukipewa taraka mnaanza kulalamika Asubui yote hii badala upike chai na mihogo unywe na mme wako we unakimbilia umbeya
Amemis dushelele la Lissu, ndiyo maana kawahi. Mwambieni akamngoje nyumbani kwake usiku tukitoka Temeke
 
Tulia, Wapo njiani wanakuja
 

Attachments

  • IMG_20230125_103429.jpg
    527.8 KB · Views: 5
Kosa langu lipi hapo? Kama hiyo ndio kazi yangu?
 
Huna kazi?

Ndege aliyopanda Lisu inatua saa 7 mchana, mpaka kutoka nje, huenda itakuwa karibia saa 8 mchana, wewe sahizi asubuhi umekwishafika airport, umeenda kufanya nini? Au ni mjumbe wa kamati ya mapokezi?
Hjyo ndio kazi yangu. Uliza lingine
 
Huna kazi?

Ndege aliyopanda Lisu inatua saa 7 mchana, mpaka kutoka nje, huenda itakuwa karibia saa 8 mchana, wewe sahizi asubuhi umekwishafika airport, umeenda kufanya nini? Au ni mjumbe wa kamati ya mapokezi?
Hjyo ndio kazi yangu. Uliza lingine
 
Ukipewa taraka mnaanza kulalamika Asubui yote hii badala upike chai na mihogo unywe na mme wako we unakimbilia umbeya
Wewe Mwalimu huna akili. 2023 kijana mdogo unaenda kuwa mwalimu wa halmashauri.
 
Dada unafuatilia sana maisha ya wanaume,vipi wewe ni mjane au singo Maza?
Fanya yako kama huna sema tukuwezeshe.
 
Uchawa si mpangoπŸ˜‚
 
Kachukue buku saba yako wewe tulikuagiza airport, kule mwembe yanga kuna mwingine tumemtuma.

NB: picha utume za terminal 2 na sio terminal 3.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…