Wananchi wamesusa mapokezi ya Lissu. CHADEMA imefeli

Hv mwenye akili timamu aende Airport kumsubiri Lissu uache kufanya kazi ya kukuingizia kipato kwenye jiji hili?.Labda kama huna cha kufanya hapa town mweeh
 
 
Hv mwenye akili timamu aende Airport kumsubiri Lissu uache kufanya kazi ya kukuingizia kipato kwenye jiji hili?.Labda kama huna cha kufanya hapa town mweeh
Hao hao wenye akili timamu walienda airport kushangilia ndege
 
Muda si mrefu utapata Mimba na mtoto utamwita CHADEMA...
 
Ila Mwananchi nao. Kwani wangesema amepokelewa na maelfu wangepungukiwa nini? [emoji51][emoji51][emoji51]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…