Wananchi wamesusa mapokezi ya Lissu. CHADEMA imefeli

Wananchi wamesusa mapokezi ya Lissu. CHADEMA imefeli

Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.

Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?

Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.

Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.

Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
Weka picha tuone wewe chawa wa mama
 
Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.

Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?

Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.

Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.

Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
Wakuu wa Wilaya wamesha teuliwa. Kaa kimya, chawa. Tafuta mkeka wa wakuu wa wilaya. Jina lako hamna.
 
Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.

Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?

Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.

Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.

Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
Ila mbona mapema sana. Walisema ndege inatua saa saba mchana. Pamoja kwamba binafsi simpendi huyo mwamba kwa siasa zake nina hakika wapo kindakindaki wapenzi wake watafika hapo kumpokea.
Tuendelee kusubiri ila binafsi ningefurahi mapokezi yake yakipooza. Huyu sio mwanasiasa mwenye faida kwa utulivu na maendeleo kiuchumi ya tanzania..
 
Ila mbona mapema sana. Walisema ndege inatua saa saba mchana. Pamoja kwamba binafsi simpendi huyo mwamba kwa siasa zake nina hakika wapo kindakindaki wapenzi wake watafika hapo kumpokea.
Tuendelee kusubiri ila binafsi ningefurahi mapokezi yake yakipooza. Huyu sio mwanasiasa mwenye faida kwa utulivu na maendeleo kiuchumi ya tanzania..
Si alikuwa anapinga ununuzi wa ndege?

Anakuja na ndege ya nani?
 
Huna kazi ya kufanya hapo ofisi ndogo za lumumba mpaka uende uwanja wa Ndege kumsubiria Lissu!!
Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.

Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?

Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.

Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.

Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
 
Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.

Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?

Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.

Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.

Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
Usisahau tupicha mkuu,..
 
Ila mwamba unahangaika Sana na Chadema aisee. Sana yaani. Yaani chadema inakuchukulia muda wako na feelings zako na akili yako kuliko inavyowachukila hivyo vitu Wana chadema wenyewe.

Ulisema uko mwanza ukaripoti walivyofeli kupata watu, kesho yake ukasema upo Musoma watu wameisusa chadema leo unasema uko airport kwenye mapokezi ya lisu

Ujue Wana chadema wengi tu saa hizi wako makazini kwao easy tu au wengine wako na wapenzi wao wamekumbatiana Wana enjoy maisha ila wewe kiguu na njia kila ilipo chadema
Nami namshangaa sana huyu dada Countrywide .
Aliripoti kuwa mkutano wa Mwanza umedoda.
Akaripoti kuwa Mara napo watu hawana habari na mkutano.
Leo anaongelea ya Dar ambapo tumeona hali halisi kwenye UTV -Dira ya mchana mubashara toka JKNIA.

Mods tafadhali msiendelee kuwabeba watu waongo waongo kama huyu jamaa,maana inaondoa ile heshima iliyojiwekea JF kwa zaidi ya muongo mmoja.
 
Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.

Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?

Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.

Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.

Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
S/gang utapata taabu san mwaka huu, na bado utajua ujui 🤣🤣🤣
 
Nami namshangaa sana huyu dada Countrywide .
Aliripoti kuwa mkutano wa Mwanza umedoda.
Akaripoti kuwa Mara napo watu hawana habari na mkutano.
Leo anaongelea ya Dar ambapo tumeona hali halisi kwenye UTV -Dira ya mchana mubashara toka JKNIA.

Mods tafadhali msiendelee kuwabeba watu waongo waongo kama huyu jamaa,maana inaondoa ile heshima iliyojiwekea JF kwa zaidi ya muongo mmoja.
Achana na hicho kimalaya kimeungua kinasambaza ngwengwe kwa kasi ya 5G
 
Watu wamejitokeza wengi sana labda wewe hauko kwenye eneo la mapokezi!!
 
Bil
Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.

Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?

Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.

Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.

Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
BIla picha wewe ni mbea tutolee taarabu zako hapa
 
Karibu kwenye mapokezi, chawa mtakufa kwa presure leo.
Lisu ni kiboko yenu
 
Back
Top Bottom