Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Buku 7 per dayUnachofanya unalipwa au? Kama hulipwi bora uache, utafute kazi utakayolipwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buku 7 per dayUnachofanya unalipwa au? Kama hulipwi bora uache, utafute kazi utakayolipwa
Sawa mkuu nmekuelewaNdio natafuta hapo, au unafikiri kutafuta mpaka niwe na duka kkoo
Unaamka mapema na kumuacha bwana ako na kwenda kutafuta mabwana wengine airport huo ni udangaji,. Tunza ndoaMabwana nimekuachia wewe, mbona hofu. Au hawakutoshi?
Weka picha tuone wewe chawa wa mamaNipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.
Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?
Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.
Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.
Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
Wakuu wa Wilaya wamesha teuliwa. Kaa kimya, chawa. Tafuta mkeka wa wakuu wa wilaya. Jina lako hamna.Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.
Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?
Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.
Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.
Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
Ila mbona mapema sana. Walisema ndege inatua saa saba mchana. Pamoja kwamba binafsi simpendi huyo mwamba kwa siasa zake nina hakika wapo kindakindaki wapenzi wake watafika hapo kumpokea.Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.
Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?
Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.
Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.
Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
Si alikuwa anapinga ununuzi wa ndege?Ila mbona mapema sana. Walisema ndege inatua saa saba mchana. Pamoja kwamba binafsi simpendi huyo mwamba kwa siasa zake nina hakika wapo kindakindaki wapenzi wake watafika hapo kumpokea.
Tuendelee kusubiri ila binafsi ningefurahi mapokezi yake yakipooza. Huyu sio mwanasiasa mwenye faida kwa utulivu na maendeleo kiuchumi ya tanzania..
Mwanza mliambulia aibu kubwa ndiyo maana hata picha za mkutano hakuna humu.Hata
Mwanza mlisema hivyo hivyo, baadae mkaamia kwenye hotuba ya Mbowe.
Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.
Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?
Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.
Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.
Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
Usisahau tupicha mkuu,..Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.
Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?
Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.
Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.
Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
Achana nao hao! Hebu lete habari kinaendelea nini hapo airport katika mapokezi ya huyo MSALITI WA TAIFA.Kosa langu lipi hapo? Kama hiyo ndio kazi yangu?
Nami namshangaa sana huyu dada Countrywide .Ila mwamba unahangaika Sana na Chadema aisee. Sana yaani. Yaani chadema inakuchukulia muda wako na feelings zako na akili yako kuliko inavyowachukila hivyo vitu Wana chadema wenyewe.
Ulisema uko mwanza ukaripoti walivyofeli kupata watu, kesho yake ukasema upo Musoma watu wameisusa chadema leo unasema uko airport kwenye mapokezi ya lisu
Ujue Wana chadema wengi tu saa hizi wako makazini kwao easy tu au wengine wako na wapenzi wao wamekumbatiana Wana enjoy maisha ila wewe kiguu na njia kila ilipo chadema
S/gang utapata taabu san mwaka huu, na bado utajua ujui 🤣🤣🤣Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.
Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?
Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.
Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.
Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja
Achana na hicho kimalaya kimeungua kinasambaza ngwengwe kwa kasi ya 5GNami namshangaa sana huyu dada Countrywide .
Aliripoti kuwa mkutano wa Mwanza umedoda.
Akaripoti kuwa Mara napo watu hawana habari na mkutano.
Leo anaongelea ya Dar ambapo tumeona hali halisi kwenye UTV -Dira ya mchana mubashara toka JKNIA.
Mods tafadhali msiendelee kuwabeba watu waongo waongo kama huyu jamaa,maana inaondoa ile heshima iliyojiwekea JF kwa zaidi ya muongo mmoja.
BIla picha wewe ni mbea tutolee taarabu zako hapaNipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe.
Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa chadema? Wamechokwa? Lissu kasahaulika?
Nilitegemea nikute maelfu ya watu nje ya uwanja wakimsubiri Lissu, lakini imekuwa kinyume chake.
Hadi sasa sijajua CHADEMA wamekosea wapi maana wananchi wamegoma kabisa.
Nikitoka hapa airport nitaenda pia kule Temeke kuona mkutano utakuaje, nitawaletea report ya moja kwa moja