kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Kwa hiyo wewe umeongeza sukari au sioUmeongeza chumvi, mwananchi kasema hawana matatizo na hao waliopitishwa na chama ila wakishachaguliwa hawafanyi mikutano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe umeongeza sukari au sioUmeongeza chumvi, mwananchi kasema hawana matatizo na hao waliopitishwa na chama ila wakishachaguliwa hawafanyi mikutano
Kampeni za kishamba hizo. Unapangia watu kiongozi wao halafu unatishia kuwa huleti barabara hiyo si sawaa. Akiambiwa dikteta uchwara anakamata watu..JPM Nimeona kachukia kwelikweli mpaka akaanza kuwatisha kuwa sileti barabara!
Mwambieni hatutaki kupangiwa viongozi.Hajawatisha amewaeleza ukweli!
Hilo zee linaongoza kwa unafiki duniani na bichwa lake kama tairi la mkokoteni.maendeleo hayana vyama, hapohapo mkichagua upinzani sileti lami.
Tatizo siyo JPM. Ni katiba yetu ndiyo inayompa kiburi hivyo. Nyerere alisema kuwa kwa katiba hii tutakuja kupata rais dictator.Hapa ndipo rais anapokosa busara. Barabara si hisani.. kwamba yeye anatoa zawadi. Ni jukum lake.
Hii mambo ya kufanya huduma ni za hisani wkt watoa kodi ni watanzania. Ni upumbavu
Japo kwa sasa tunaona na kitu cha kawaida, lkn amini, wahusika hukosa FURAHA na Amani ktk maisha yao japo hujisifia wakifanikishaBado usishangae mwisho wa siku ukasikia huyo aliyezomewa akitangazwa kushinda kwa kishindo!!
Chegeni na Masele wanamhujumu Magufuli.Anyway subiri uchaguzi uishe kitaeleweka
And he was right. Probably amegundua na anautumia huo upenyo.Tatizo siyo JPM. Ni katiba yetu ndiyo inayompa kiburi hivyo. Nyerere alisema kuwa kwa katiba hii tutakuja kupata rais dictator.
Anajihujumu mwenyewe...Chegeni na Masele wanamhujumu Magufuli.Anyway subiri uchaguzi uishe kitaeleweka
Mkuu acha utani, kuna kutishwa zaidi ya kule tulipo ona leo. Kama mnadanganyana huko kwenu sawa. Muulize Mzee Mgaya atakufahamisha vizuri. Leo mbona hujaweka kile kibwagizio chetu "Maendeleo hayana chama". Ni wazi JPM ni mzee wa alinacha na inasikitisha kusema ni mwongo pia kwenye hili.Hajawatisha amewaeleza ukweli!
Maendeleo hayana vyama bwashee!Mkuu acha utani, kuna kutishwa zaidi ya kule tulipo ona leo. Kama mnadanganyana huko kwenu sawa. Muulize Mzee Mgaya atakufahamisha vizuri. Leo mbona hujaweka kile kibwagizio chetu "Maendeleo hayana chama". Ni wazi JPM ni mzee wa alinacha na inasikitisha kusema ni mwongo pia kwenye hili.
Kumbe sehemu ambazo hawachagui chama tawala hawapati maendeleoRais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli
Wananchi hao wa kata ya kiloleni jimbo la Busega ambalo mgombea wao pendwa Bwana chegeni amekatwa jina lake wakati aliongoza kura za maoni wamekasirika mbele ya Rais kwa kuzomea
Mwananchi mmoja ameomba kuelezea tatizo ,Mwananchi huyo wa ccm amesema mbunge na diwani wa ccm bwana Magoti hawafai
Rais amesisituza wakichagua mgombea mungine watajuta
Akitumia kilugha ambacho mimi sikuelewa ni lugha gani akiweka msisitizo,Aidha lugha hiyo ya utamaduni bado haikusaidia zomea zomea hiyo
Muda huu yupo live TBC saa tano
Wananchi wameweka ngumu na Rais anasema hatapeleka lami
Wananchi wanamjibu hatumtaki wala hatumchagui Bwana Magoti diwani
Kazi kazi kweli kweli
Na badooooo! Ngoja aende kule kwenye koro-show! Naamini kesho atakuwa kwa Nshomile wakamhoji kuhusu tetemeko! Mwaka huu mpaka apasuke! Ila niwatahadharishe Watanzania wenzangu, tufanye kila linalowezekana kumzuia huyu mzee kwenda Ikulu tena maana ukatili atakaotutendea hauna mfano tukizingatia kwamba uchaguzi ujao wa 2025 hana cha kupoteza!Aisee comrade fanyeni kikao cha dharura mumpange upya Mzee Pombe maana tangu mkutano Shinyanga ametoka nje ya mstari amekua ni mtu wa jabza na vitisho kwa wapiga kura 🤣🤣🤣
Muulize JPM kwa nini anawaadhibu watu wa Bunda kama maendeleo hayana vyama?Maendeleo hayana vyama bwashee!
Hivi mnafikiri Magufuli akipita 2025 kuna uchaguzi na hao akina Ndugai wake? Katiba itahaririwa ovyoovyo, haitokuwa na tofauti na gazeti la tanzanite.Na badooooo! Ngoja aende kule kwenye koro-show! Naamini kesho atakuwa kwa Nshomile wakamhoji kuhusu tetemeko! Mwaka huu mpaka apasuke! Ila niwatahadharishe Watanzania wenzangu, tufanye kila linalowezekana kumzuia huyu mzee kwenda Ikulu tena maana ukatili atakaotutendea hauna mfano tukizingatia kwamba uchaguzi ujao wa 2025 hana cha kupoteza!
Nchi ya Amani huku analeta Jeshi la Akiba.Mzee amejaa gas,anatema moto.Hizi ndiyo Sera mlizotuahidi?maendeleo hayana vyama, hapohapo mkichagua upinzani sileti lami.