Wananchi wamtaka Mabula apunguze utoto, Wenje atajwa

Wananchi wamtaka Mabula apunguze utoto, Wenje atajwa

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Wananchi wa Jimbo la Nyamagana wamemuomba mbunge wao apunguze utoto au Kama itawezekana basi aache kabisa.

Sintofahamu hiyo imeanza baada ya mbunge huyu kuanza ujenzi wa kipande cha lami chenye urefu wa mita 50 kwa kiwango Cha lami huku mradi ukihitaji zaidi ya km 3 kukamilika.

Mradi huo ambao mpaka kukamilika kwake itakuwa umefaidisha familia/fensi nne tu umetajwa Kama tusi kwa wananchi wa Nyamagana. Pia wamemwambia Kama amechoka na ubunge basi wamuombe Wenje aanze kufanya warmup.
 
Ulitaka hiyo lami haipeleke mlangoni kwako? Tujifunze kuwa na shukrani hakuna mbunge wa nyamagana aliyewahi kufanya mambo makubwa kuzidi ya Stanslaus mabula.
 
Atengeneze barabara ya mkuyuni-kanyerere. Mbovu sana
Atengeneze kwa pesa zake? Ata rais hana huwezo wa kujenga kipande cha lami, mabula kasema mara ngapi bungeni kuhusiana na umuhimu wa hiyo barabara na mateso ya watu wanayopitia lakini serikali imekuwa ikipiga dana dana...subirieni miradi ya tactic tupunguze shida za barabara zetu.
 
Atengeneze kwa pesa zake? Ata rais hana huwezo wa kujenga kipande cha lami, mabula kasema mara ngapi bungeni kuhusiana na umuhimu wa hiyo barabara na mateso ya watu wanayopitia lakini serikali imekuwa ikipiga dana dana...subirieni miradi ya tactic tupunguze shida za barabara zetu.
OK mzee ila hiyo barabara isikie tuu....ni mbaya mbaya mbaya mno
 
Wananchi wa Jimbo la Nyamagana wamemuomba mbunge wao apunguze utoto au Kama itawezekana basi aache kabisa.

Sintofahamu hiyo imeanza baada ya mbunge huyu kuanza ujenzi wa kipande cha lami chenye urefu wa mita 50 kwa kiwango Cha lami huku mradi ukihitaji zaidi ya km 3 kukamilika.

Mradi huo ambao mpaka kukamilika kwake itakuwa umefaidisha familia/fensi nne tu umetajwa Kama tusi kwa wananchi wa Nyamagana. Pia wamemwambia Kama amechoka na ubunge basi wamuombe Wenje aanze kufanya warmup.
Wewe pimbi ukiamka unawaza juu ya watu wa Nyamagana eti wamesema Mabula aache utoto! Huyo Wenje nani ana shida nae hapo mwanza? Alifanya nini alipokuwa mbunge wan NYamagana? Unahisi maendeleo ni ujinga ujinga kama unavyowaza?
 
OK mzee ila hiyo barabara isikie tuu....ni mbaya mbaya mbaya mno
Ilikuwa na shida kati ya sgr na hiyo barabara, ipi ipite juu, na hiyo barabara ipo tanroad na bajet yake inatoka mwaka huu mwezi wa saba.
 
Wewe pimbi ukiamka unawaza juu ya watu wa Nyamagana eti wamesema Mabula aache utoto! Huyo Wenje nani ana shida nae hapo mwanza? Alifanya nini alipokuwa mbunge wan NYamagana? Unahisi maendeleo ni ujinga ujinga kama unavyowaza?
Wenje alikuwa kama zuzu alipendwa na vijana vichaa wasiokuwa na mielekeo ya maisha.
 
Kwani mbunge nduyo huwa anajenga barabara? Watanzania bhana!!
 
Wananchi wa Jimbo la Nyamagana wamemuomba mbunge wao apunguze utoto au Kama itawezekana basi aache kabisa.

Sintofahamu hiyo imeanza baada ya mbunge huyu kuanza ujenzi wa kipande cha lami chenye urefu wa mita 50 kwa kiwango Cha lami huku mradi ukihitaji zaidi ya km 3 kukamilika.

Mradi huo ambao mpaka kukamilika kwake itakuwa umefaidisha familia/fensi nne tu umetajwa Kama tusi kwa wananchi wa Nyamagana. Pia wamemwambia Kama amechoka na ubunge basi wamuombe Wenje aanze kufanya warmup.
Na wewe unaamini kazi ya Mbunge ni kujenga barabara?
 
Kwani mbunge nduyo huwa anajenga barabara? Watanzania bhana!!
Tena yeye Mabula kaongelea badala ya kususbiri serkali kuu kuleta pesa ya kujenga halmashauri inaweza kushirikiana TARURA kuanza ujenzi kwa awamu! Hii ni point nzuri sana sema sasa hawa vijana ndo tatizo!
 
Yaani hawa vijana wanaona mambo ni rahisi tu! Ujinga na uanaharakati wa vyama unasumbua sana akili zao!
Wenje toka amekaa nyamagana sikuwahi kuona zuri lake ata moja, leo mtu anakuja kumlinganisha Mabula na vitu vya ajabu ajabu kweli hii ni fair???
 
Wananchi wa Jimbo la Nyamagana wamemuomba mbunge wao apunguze utoto au Kama itawezekana basi aache kabisa.

Sintofahamu hiyo imeanza baada ya mbunge huyu kuanza ujenzi wa kipande cha lami chenye urefu wa mita 50 kwa kiwango Cha lami huku mradi ukihitaji zaidi ya km 3 kukamilika.

Mradi huo ambao mpaka kukamilika kwake itakuwa umefaidisha familia/fensi nne tu umetajwa Kama tusi kwa wananchi wa Nyamagana. Pia wamemwambia Kama amechoka na ubunge basi wamuombe Wenje aanze kufanya warmup.
Wenje alienda akugombea kwaop Mara.
 
Wenje toka amekaa nyamagana sikuwahi kuona zuri lake ata moja, leo mtu anakuja kumlinganisha Mabula na vitu vya ajabu ajabu kweli hii ni fair???
Tatizo la vijana wanajua makelele ndo yanafanya kazi! Wamwache Mabula anendelee na utekelezaji wa majukumu yake ya kikazi kama maji,barabara na stendi kama inavyoendele kwa sasa!
 
Nyamagana ya huyo wenje ilikuwa ni vumbi karibia barabara zote za mjini kati, leo angalia cbd inavyoshine, kuna masoko, stendi, miradi ya maji, barabara n.k
 
Ulitaka hiyo lami haipeleke mlangoni kwako? Tujifunze kuwa na shukrani hakuna mbunge wa nyamagana aliyewahi kufanya mambo makubwa kuzidi ya Stanslaus mabula.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom