Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi.Ilikuwa na shida kati ya sgr na hiyo barabara, ipi ipite juu, na hiyo barabara ipo tanroad na bajet yake inatoka mwaka huu mwezi wa saba.
Huyo pambalu ndio hatajenga barabara na kuleta maji, tuwe watu wa shukrani.Wenzie wanapanda Hadi juu ya meza kushinikiza serikali ijenge miundombinu yeye kabaki kupanik....
Nyamagana tuna mtaka pambalu.
[emoji116]View attachment 2470054
Yaani bibi kabisa yule wa miaka 62 mnamuambia aache utoto? Acheni masihara basi na muwe na adabu kwa wakubwa zenuWananchi wa Jimbo la Nyamagana wamemuomba mbunge wao apunguze utoto au Kama itawezekana basi aache kabisa.
Sintofahamu hiyo imeanza baada ya mbunge huyu kuanza ujenzi wa kipande cha lami chenye urefu wa mita 50 kwa kiwango Cha lami huku mradi ukihitaji zaidi ya km 3 kukamilika.
Mradi huo ambao mpaka kukamilika kwake itakuwa umefaidisha familia/fensi nne tu umetajwa Kama tusi kwa wananchi wa Nyamagana. Pia wamemwambia Kama amechoka na ubunge basi wamuombe Wenje aanze kufanya warmup.
Acha uongoNyamagana ya huyo wenje ilikuwa ni vumbi karibia barabara zote za mjini kati, leo angalia cbd inavyoshine, kuna masoko, stendi, miradi ya maji, barabara n.k
Leta ukweli wako, kila siku mnataka kumchafua mabula kwa mabaya ni sehemu gani ambayo hajaigusa, nitolee upumbavu wako.Acha uongo
Pumbafu sana unajua nyamagana WEWE au una Hala hovyo hovyoUlitaka hiyo lami haipeleke mlangoni kwako? Tujifunze kuwa na shukrani hakuna mbunge wa nyamagana aliyewahi kufanya mambo makubwa kuzidi ya Stanslaus mabula.