Wananchi wamtaka Mabula apunguze utoto, Wenje atajwa

Wananchi wamtaka Mabula apunguze utoto, Wenje atajwa

Wenzie wanapanda Hadi juu ya meza kushinikiza serikali ijenge miundombinu yeye kabaki kupanik....
Nyamagana tuna mtaka pambalu.
[emoji116]
Screenshot_20230101-202951.jpg
 
Tangu JPM aage dunia habari za barabara na maji na umeme tulieni tu.

Atakuja mwingine.
 
Wananchi wa Jimbo la Nyamagana wamemuomba mbunge wao apunguze utoto au Kama itawezekana basi aache kabisa.

Sintofahamu hiyo imeanza baada ya mbunge huyu kuanza ujenzi wa kipande cha lami chenye urefu wa mita 50 kwa kiwango Cha lami huku mradi ukihitaji zaidi ya km 3 kukamilika.

Mradi huo ambao mpaka kukamilika kwake itakuwa umefaidisha familia/fensi nne tu umetajwa Kama tusi kwa wananchi wa Nyamagana. Pia wamemwambia Kama amechoka na ubunge basi wamuombe Wenje aanze kufanya warmup.
Yaani bibi kabisa yule wa miaka 62 mnamuambia aache utoto? Acheni masihara basi na muwe na adabu kwa wakubwa zenu

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Ulitaka hiyo lami haipeleke mlangoni kwako? Tujifunze kuwa na shukrani hakuna mbunge wa nyamagana aliyewahi kufanya mambo makubwa kuzidi ya Stanslaus mabula.
Pumbafu sana unajua nyamagana WEWE au una Hala hovyo hovyo
 
Back
Top Bottom