Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusaidia kuzima nafikiri kuna kazi nyingi ,kuwachotea,maji,kuwapa chakula ,watu fire,ndo maana wakati wa Vita na Uganda ,mpaka bend zilienda ,japokua hawakupigana,wao ilikua kutoa burudani,kuwapa moyo wanajeshiMoto unazimwa na wataalamu sio wanafunzi kati ya ajali mbaya za Moto ni pamoja na Moto wa msituni msipojua kitu mtazungukwa na kuteketea moto wa California wiki iliyopita uliwazunguka fire fighter kadhaa mlima unaingiza pesa nyingi kuweni na vifaa thabiti vya kuzimia Moto wa maporini na mlimani acheni ujanja ujanja kwenye Mambo ya msingi, watu wa Moto mkoa KLM na Arusha wahusike kuzima Moto sio hao wanafunzi.
Wao wanadhani kuzima huo moto unabeba maji kwenye beseni na kwenda kuumwaga tu.Watu wengi tuliokua tunafanya kazi za Moto hasa wa meli,oil lig au majumbani wataalamu walitusihi kwenda kuzima Moto wa msituni ni hatari kuliko maelezo inatakiwa upate Elimu ya kuanzisha Moto ili ubadili uelekeo na jinsi upepo ilivyo sio umewashinda hamuwezi hata hii mbinu ndogo sema huku wanachukulia poa tuu kila kitu tunawaangalia maana maamuzi ya kitaalamu yanategemea wanasiasa..
Wana kimbiaNimekumbuka huko huko mlima Kilimanjaro mkuu, askari wa KINAPA na PT walikuwa wanasaidiana kusomba watu na kuwapeleka juu huko kuzima moto... bhas ikifika time hiyo vijiweni kunakuwa kweupee watu hawakai.
ili waibe bendera za CCM wakadekie.Wachaga wanauchoma mlima ili waibe nini?
Nakumbuka nilipokuwa nasoma Dakawa High School tulikuwa tunaenda kuzima moto kwenye mapori yaliyomo DADECE!Moto unazimwa na wataalamu sio wanafunzi kati ya ajali mbaya za Moto ni pamoja na Moto wa msituni msipojua kitu mtazungukwa na kuteketea moto wa California wiki iliyopita uliwazunguka fire fighter kadhaa mlima unaingiza pesa nyingi kuweni na vifaa thabiti vya kuzimia Moto wa maporini na mlimani acheni ujanja ujanja kwenye Mambo ya msingi, watu wa Moto mkoa KLM na Arusha wahusike kuzima Moto sio hao wanafunzi.
Na bado uko hai hadi leo hiiNakumbuka nilipokuwa nasoma Dakawa High School tulikuwa tunaenda kuzima moto kwenye mapori yaliyomo DADECE!
Kwa hilo namshukuru Mungu.Na bado uko hai hadi leo hii
Ni jambo jemaMkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka (CAWMSO) amewaomba wanafunzi waliopo chuoni kushiriki kikamilifu katika kuzima moto katika hifadhi ya Kilimanjaro...