Wananchi wanaimani na Falsafa ya Rais ya 4R ituvushe salama kwenye uchaguzi, wengine wanachafua. Kulikoni?

Wananchi wanaimani na Falsafa ya Rais ya 4R ituvushe salama kwenye uchaguzi, wengine wanachafua. Kulikoni?

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Mimi ni mmoja niliyevutiwa na falsafa ya 4R alizoziasisi Rais Samia. Na kwa vyama vya siasa, viongozi wa dini, mashirika ya nchi za nje, mabalozi na wananchi walianza kumwelewa na kuamini kuwa safari nchi itaonja nuru ya uchaguzi ulio huru na haki ili wananchi wachague wanachokitaka.

Baada ya kuruhusiwa mikutano watu wakaamini zaidi kwenye ajenda hii ya 4R ambayo ninahisi ni sifa muhimu iliyomuwezesha Rais kupewa digrii za heshima nyingi duniani kote. Hali imeanza kubadilika kidogo kidogo kuelekea uchaguzi kuna dalili uchaguzi huu wa 2024/25 ukachukua sura na mkondo kama wa mwaka 2019/2020. Hii itakuwa mbaya sana, ACT wamekwisha onja adha ya maovu ya uchaguzi mdogo maeneo mbalimbali. Na wametoa angalizo.

Swali fikirishi, je itakuwaje iwapo hali ya mwaka 2019/2020 ya uchafuzi itajirudia kwenye uchaguzi huu! Kuenguliwa mawakala kunyanyaswa, na kutangazwa matokeo tofauti. Wananchi tutaipokeaje hiyo hali. Nashauri Rais atoe hotuba ya msisitizo wa kufuata sheria kwa vyombo vyote vya dola vya kiuchaguzi, na watendaji walio chini yake ifuatiwa na Waraka wa Tume ya uchaguzi au wa kiutumishi kutoka Ikulu, pia Wakatoliki, Bakwata, CCT nk wawaelekeze wafuasi wao.

Vinginevyo ikiachwa hali itokee kama wakati ule, Tanzania itaingia kwenye giza nene la demokrasia. Tujadili.
 
"mwafrika hawezi kujitawala"Botha

Uchaguzi ni jambo dogo sana,hasa kwenye jamii yenye ustaarabu,lakini kwa jamii ya wapumbavu ni sehemu ya kuonesha upumbavu wao na toka lini mpumbavu akawa na mabadiliko ndani ya fikra zake ?

"Huwezi muelimisha mpumbavu akaacha upumbavu wake"Mwl.Nyerere

"Hata umtwange mpumbavu na mchi kwenye kinu pamoja na ngano,upumbavu wake hauwezi kumtoka" Mfalme Selemani

"Tanzania hakuna uchaguzi bali maonesho ya upumbavu/ujinga wa mtu mweusi kwenye sanduku la Kura" Tindo
 
Falsafa gani, mtu aliyesema "Hata mkiipigia chadema kura zote, CCM ndiyo itaunda serikali" Huyo anawezea kuwa na falsafa?
 
Mimi ni mmoja niliyevutiwa na falsafa ya 4R alizoziasisi Rais Samia. Na kwa vyama vya siasa, viongozi wa dini, mashirika ya nchi za nje, mabalozi na wananchi walianza kumwelewa na kuamini kuwa safari nchi itaonja nuru ya uchaguzi ulio huru na haki ili wananchi wachague wanachokitaka.

Baada ya kuruhusiwa mikutano watu wakaamini zaidi kwenye ajenda hii ya 4R ambayo ninahisi ni sifa muhimu iliyomuwezesha Rais kupewa digrii za heshima nyingi duniani kote. Hali imeanza kubadilika kidogo kidogo kuelekea uchaguzi kuna dalili uchaguzi huu wa 2024/25 ukachukua sura na mkondo kama wa mwaka 2019/2020. Hii itakuwa mbaya sana, ACT wamekwisha onja adha ya maovu ya uchaguzi mdogo maeneo mbalimbali. Na wametoa angalizo.

Swali fikirishi, je itakuwaje iwapo hali ya mwaka 2019/2020 ya uchafuzi itajirudia kwenye uchaguzi huu! Kuenguliwa mawakala kunyanyaswa, na kutangazwa matokeo tofauti. Wananchi tutaipokeaje hiyo hali. Nashauri Rais atoe hotuba ya msisitizo wa kufuata sheria kwa vyombo vyote vya dola vya kiuchaguzi, na watendaji walio chini yake ifuatiwa na Waraka wa Tume ya uchaguzi au wa kiutumishi kutoka Ikulu, pia Wakatoliki, Bakwata, CCT nk wawaelekeze wafuasi wao.

Vinginevyo ikiachwa hali itokee kama wakati ule, Tanzania itaingia kwenye giza nene la demokrasia. Tujadili.

Zike 4r's toka awali nilijua ni utapeli. Nilipoona mikutano ya kisiasa inaruhusiwa kama hisani na wala sio jambo la kikatiba, na ikawa inatakiwa tumpongeze rais badala ya rais na chama chake kuomba radhi kwa kuvunja katiba, moja kwa moja nilijua ni hadaa ya kisiasa, na kumjenga zaidi Samia.

Nilijipa muda nione ili muda uamue shaka yangu iwapo itapatikana tume huru ya uchaguzi na katiba mpya. Matokea yake hakuna tume huru, na katiba mpya wanasena hadi elimu! Hii imefanya ile shaka yangu ya ule utapeli niliouna toka awali itimie.
 
"mwafrika hawezi kujitawala"Botha

Uchaguzi ni jambo dogo sana,hasa kwenye jamii yenye ustaarabu,lakini kwa jamii ya wapumbavu ni sehemu ya kuonesha upumbavu wao na toka lini mpumbavu akawa na mabadiliko ndani ya fikra zake ?

"Huwezi muelimisha mpumbavu akaacha upumbavu wake"Mwl.Nyerere

"Hata umtwange mpumbavu na mchi kwenye kinu pamoja na ngano,upumbavu wake hauwezi kumtoka" Mfalme Selemani

"Tanzania hakuna uchaguzi bali maonesho ya upumbavu/ujinga wa mtu mweusi kwenye sanduku la Kura" Tindo
Daah nimependa ulivyomalizia tu hapo para ya mwisho!

Kweli hatunaga uchaguzi nchi hii, ni maonesho tu ya upumbavu/ ujinga wa mtu mweusi kwenye sanduku la kura
 
Viongozi wa dini km Catholic wako kimya vipi misaada iliyotolewa na serikali kwenye makanisa imewapusha,toeni Waraka muiponye nchi kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa. mioyo ina hofu na kuvuja damu wananchi kwa kauli na hofu za wizi wa kura utakaoweza kutokea. Tujihami na yaliyotokea 2019/2020
 
Mimi ni mmoja niliyevutiwa na falsafa ya 4R alizoziasisi Rais Samia. Na kwa vyama vya siasa, viongozi wa dini, mashirika ya nchi za nje, mabalozi na wananchi walianza kumwelewa na kuamini kuwa safari nchi itaonja nuru ya uchaguzi ulio huru na haki ili wananchi wachague wanachokitaka.

Baada ya kuruhusiwa mikutano watu wakaamini zaidi kwenye ajenda hii ya 4R ambayo ninahisi ni sifa muhimu iliyomuwezesha Rais kupewa digrii za heshima nyingi duniani kote. Hali imeanza kubadilika kidogo kidogo kuelekea uchaguzi kuna dalili uchaguzi huu wa 2024/25 ukachukua sura na mkondo kama wa mwaka 2019/2020. Hii itakuwa mbaya sana, ACT wamekwisha onja adha ya maovu ya uchaguzi mdogo maeneo mbalimbali. Na wametoa angalizo.

Swali fikirishi, je itakuwaje iwapo hali ya mwaka 2019/2020 ya uchafuzi itajirudia kwenye uchaguzi huu! Kuenguliwa mawakala kunyanyaswa, na kutangazwa matokeo tofauti. Wananchi tutaipokeaje hiyo hali. Nashauri Rais atoe hotuba ya msisitizo wa kufuata sheria kwa vyombo vyote vya dola vya kiuchaguzi, na watendaji walio chini yake ifuatiwa na Waraka wa Tume ya uchaguzi au wa kiutumishi kutoka Ikulu, pia Wakatoliki, Bakwata, CCT nk wawaelekeze wafuasi wao.

Vinginevyo ikiachwa hali itokee kama wakati ule, Tanzania itaingia kwenye giza nene la demokrasia. Tujadili.
Mchafuzi mkuu huyu hapa:
IMG-20240718-WA0046.jpg
 
Back
Top Bottom