Pre GE2025 Wananchi wangekuwa wanamkubali kwa dhati Rais Samia kungekuwa na haja ya kuanzisha Samia Cup, Samia Legal Aid, Cheka na Samia na kadhalika?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Viongozi wasiokuwa na weledi, uwezo na matapeli utawaona wakianzisha miradi na propaganda Ili waonekane ni Bora. Kumbe ni ulaghai tu!
 
Mpaka yeye mwenyewe haelewi what is going on🤣🤣🤣
 
Huo ni mrefereji wa watu kutengeneza mazingira ya kunufaika zaidi kupita yeye. Itafika mahali hata yeye atakereka na kukataza baadhi ya vitu vingine: e.g Samia Stadium Arusha, etc
Hahahah
 
Mpaka wananchi mnatuchanganya saaa. Hatunui tushike lipi tuache lipi
 
Amka na Samia jogging Tanga, by Ummy Mwl!.
Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu (ukitoa chawa ambao ni wanufaika) anajua wazi huyu mtu ni dhaifu kiuongozi...bila kuwahadaa wananchi uchaguzi mkuu oktoba ataenda kuaibika!.
KWa maslahi mapana ya nchi, Samia HATOSHI kuwa rais, angeishia kwenye urais wa kurithi!.
 
Sijui hata kama yeye anajikubali kama kweli anajielewa na kuelewa hali halisi mwanangu. Ukiwa na watu wa karibu machawa kama makonda, kabudi, lukuvi na vilaza wengine untegemeani mwanangu?
 
Kwani hizo ni program za branding Kwa Samia au za kuwasaidia wenye Changamoto?

Wewe kama una shida ya kisheria nenda,kama huna kausha
 
Soma kuhusu opportunity seekers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…