Wananchi wapate shida ya mafuta lakini viongozi husika wanazidi kuneemeka

Shakari

Senior Member
Joined
Jul 6, 2022
Posts
188
Reaction score
570
Wananchi wanapata tabu kubwa kwenye suala la mafuta lakini familia za kina Makamba, Tulia na mumewe Bosi wa Ewura ziendelee kuneemeka huku Watanzania wakiteseka kwenye nchi yao. Nimeona huko Kiteto mafuta lita Tsh. 5,000 wao wanaona sawa tu. Ili mradi waendelee kubaki kwenye nafasi zao.

Nchi inapita kwenye kipindi kigumu sana na hakuna yoyote anayejali ilimradi wao wana uhakika kwanza hawaingii sheli magari wakiamka asubuhi yako full tank.


January Makamba



spika na Mumewe Mkurugenzi wa EWURA
 
si wanapata shida kwa mwezi mmoja tu hapo wafanyabiashara watakuwa wameingiza faida kubwa sana na bahasha ikipelekwa kwa mwenyewe out of it, anatangaza tu bei kupungua, na maisha yanaendelea, wadanganyika wamesharidhika. kwisha.
 
Wewe unataka wafanye je? Kwani wao ndo nawaziri wa fedha naomba mjue kwamba dollars ikiwa adimu lazima vitu vinavyo nunuliwa kwa dollars vipende tu.
 
Wewe unataka wafanye je? Kwani wao ndo nawaziri wa fedha naomba mjue kwamba dollars ikiwa adimu lazima vitu vinavyo nunuliwa kwa dollars vipende tu.
Kwa hiyo shida ni Waziri wa fedha , Sisi hatukujua Hilo tukamlaumu bure February
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…