Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
Hujastuka wakati upo unafua chup..i zake na kuogesha wanawe..mvivu wa kufikiria weweNipo tayari kuwa msukule wa mange
Mkuu hilo kubwa jinga ukiona linapanick hivyo ujue lina njaa kali sanaHahaha unapanic ishu ndogo kama hii? Huijui jf kumbe.. Okay ngoja ni Badili Gia angani.. Inawezekana ukawa na hiyo pesa Ila huna akili, unatetea wauza ngada, Kwa taarifa yako awamu ya TANO ni awamu nyingine kabisa hakuna mazoea, hakuna brand, hakuna Jina, hakuna kuangalia Sura.. Pole Sana mwanaume kushikwa akili na mdaku Mange kimambe
Mkuu wapo watu wapo tu wanangoja kufa wazikweMkui lakini unajua.kuwa hapa bongo ni crisis ? Si Gwajima tu bali manabii nadhani wamegusa kila familia !!! Ni masitiko makubwa kuwa watanzania hawajielewi wwngi wamekabidhi kuanzia oblongata mpaka cerebellum kwa hao watu wasomi kwa wasio wasomi. Watanzania hatuna uelewa wa kuchambua mambo na hatuko tayari kuendana na uchumi wa kati
Yakununulia always unayo au unatumia matambaraNamimi ntamchangia tunaomba account please
[emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123]Kwan shingap..... Hata mm ntamchangia
Tena nmepanga kuumpa 2ml
MANGE weka acc number nfanye mambo
Akili bhana[emoji1] [emoji1]Unafanana na huyo kilaza wako hapo geto
Matambara. Alafu for your information mataambara ndo mazuri kuliko hizo always. Kwanza sizitaki. Hata mamaako alitumiaga matambara kwanini nisitumie mieee, tisa kumi, hata kwakujiuuza ntajiuza kusudi nimchangie my sweet Mange aceeYakununulia always unayo au unatumia matambara
Huyu demu ame-control mind za watu wengi kumbe hivyo doh
Ndio maana gwajima amekuwa tajiri wa kutupwa sababu hiyo
Mfano walio control mind za watu wakatajirika
1.mzee wa loliondo
2.Manyau nyau
3.Gwajima
Na saizi Mange loading...
Subiri na mimi nianzishe jambo la kucontrol mind za watu nianze kupiga pesa
Wata hack hiyo account ajute...
mkamateni tuone hatutaki porojo siemange tutamkamata muda si mrefu ataozea magereza
hajasema km hyo issu ya hotel imemchanganya yy alikua bussy na watoto watu wameunganisha tu matukio.Mange anasingizia ishu ya hotel imemchanganya, ila mimi naona ishu ya watoto ndio ilimchanganya maana alikua mahakaman kwa ishu ya watoto
Inategemea ni eneo gani, kodi ya ardhi hakuna flat rate, kila eneo lina kodi yake.HIVI NI KWELI KODI YA ARDHI FAMILIA YA MANGE WAMESHINDWA KULIPA? KWANI KODI YA MWAKA YA ARDHI NI TSH NGAPI? KODI YA ARDHI NAYOJUA MIMI KWELI KWA COMMERCIAL PLOT INAZIDI LAKI 5 KWA MWAKA? LET ASSUME HAWAJALIPA TANGU MZEE AFARIKI,JE NDIO WASHINDWE KULIPA HIYO ,LAKI 3 X15 AMBAYO NI 4.5MILIONS?
Tafuta hela acha chukiHuyu demu ame-control mind za watu wengi kumbe hivyo doh
Ndio maana gwajima amekuwa tajiri wa kutupwa sababu hiyo
Mfano walio control mind za watu wakatajirika
1.mzee wa loliondo
2.Manyau nyau
3.Gwajima
Na saizi Mange loading...
Subiri na mimi nianzishe jambo la kucontrol mind za watu nianze kupiga pesa
Chuki gani ninazoTafuta hela acha chuki