Wananchi wawashambulia wabunge kufuatia adhabu kwa Askofu Gwajima na Silaa

Wanachi kwa umoja wao wanaweza.....
ama hujui maana ya nguvu ya umma
hiyo nguvu ya umma imezuia mipango gani ya serikali?
hiyo nguvu ya umma inayolalamika mitandaoni lakin hakuna anaejitokeza field kuonyesha msisitizo?
Hakuna nguvu ya umma inatoka kwa jamii ya waongo na wanafki.
ndio maana serikal inafanya wanavyotaka na hakuna wa kuigusa
 
Yaani legacy ya upumbavu halafu inaungwa mkono na wananchi wengi!

Una maana taifa lina wapumbavu wengi!

Kuita watu wengi ni wapumbavu ndio upumbavu wenyewe!

Hoja yako haina mantiki yoyote!
Upumbavu ni upumbavu tuu na huondolewi na quantity ya wanaounga mkono
 
Unataka evidence ambayo inapatikana baada ya miaka 5 mpaka 10?

Chanjo imetolewa katika mazingira ambayo ni emergence administered ili kuokoa uchumi halafu bado unataka evidence wakati side effect ya muda wa miaka 5 mpaka 10 haijulikani!
Dawa ipi ambayo haina side effect?
unadai side effect itaonekana baada ya miaka mitano au 10?
uko kwenye team ya research ya chanjo au umeandika tu random guess?
umeshawah kushiriki utengenezaj wa chanjo yoyote au unasoma online articles tu?

for the record tu side effect zilianza kuonekana mapema in first year.
but it doesnt mean watu waache kutumia kisa ya side effect.

yest miaka mitano au 10 bado haijafika.. lakin unadai side effect? zipi?
mlienda future mkaona itakuwaje?

but then kama gwajima hama evidence ana bwabwaja random things tu? anafanya hivyo ili iweje?
 
Kiswahili ni lugha nyepesi kwangu. Lakini wewe unaleta ulimbukeni wako wa jiwe, na jiwe wako ameshaenda harudi tena

Nani amekuambia kuwa jiwe atarudi au ni wapi nimesema atarudi?

Ndio maana nimekuambia una tatizo la uelewa! Jielimishe kwanza kabla kuingia kwenye masuala ambayo yako juu ya uwezo wako wa utambuzi(comprehension).
 
We mpumbavu kachanje mwenyewe
Swala la chanjo Gwajima kapata uungaji mkono kwa wananchi wengi kwasababu kuu moja ni Legacy ya upumbavu wa Mwendazake kuwaongopea wananchi na kuwashawishi wananchi kuwa chanjo ni feki na kutumia kivuli Cha dini
 
Nani amekuambia kuwa jiwe atarudi au ni wapi nimesema atarudi?

Ndio maana nimekuambia una tatizo la uelewa! Jielimishe kwanza kabla kuingia kwenye masuala ambayo yako juu ya uwezo wako wa utambuzi(comprehension).

Endelea kuweweseka, maisha yanasonga mbele
 
Bunge hili la kuongeza maisha kwa dawa , hahaaaa hakuna Bunge pale

Maoni yaliyotolewa na wananchi kwenye video yanatoa somo muhimu kwa wabunge kuhusu suala la chanjo za korona nchini.
 

[emoji1474][emoji1474][emoji1474]
 
Hoja dhaifu sana hii kuchukulia data za mitandaoni kuwa ndio sauti ya wote. Hatuwezi kuwa upande wa upotoshaji kuwa ndio ulioshinda. Huwezi kutofautiana na Chama na Serikali yako mwenyewe huwezi jiuzulu na utoke au uanjishe chama chako.

Unatofautiana vipi na chama na serikali wakati wamesema chanjo ni hiari? Lini walisema chanjo ni LAZIMA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…