Dusabimana
JF-Expert Member
- Oct 24, 2019
- 278
- 248
Huku TCRA wakiendelea kufungia Watu Line zao katika Wilaya ya kasulu NIDA wanawarejeshea Wananchi fomu zao ili wakahojiwe upya!
Mwezi January mwaka huu walianza kutoa namba kwa baadhi ya watu wachache huku Watu wengi wakiwa bado hawajapata ! Ghafla tena J'pili ya February 2 tangazo likasikika "wote ambao hawajapata namba za NIDA wafike kwenye ofisi za Mitaa yao watarejeshewa fomu zao na kuhojiwa upya"Hali ambayo imewakasirisha wengi wakilinganisha na usumbufu walio upata Mwaka juzi kwa kupanga foleni wakisubiri kusajiliwa! Watu wengi wamesikika wakisema kuwa hawatoenda kupiga kura October mwaka huu na baadhi yao wakiapa kutomchagua Magu tena kwa unyanyasaji anao wafanyia!
Mwezi January mwaka huu walianza kutoa namba kwa baadhi ya watu wachache huku Watu wengi wakiwa bado hawajapata ! Ghafla tena J'pili ya February 2 tangazo likasikika "wote ambao hawajapata namba za NIDA wafike kwenye ofisi za Mitaa yao watarejeshewa fomu zao na kuhojiwa upya"Hali ambayo imewakasirisha wengi wakilinganisha na usumbufu walio upata Mwaka juzi kwa kupanga foleni wakisubiri kusajiliwa! Watu wengi wamesikika wakisema kuwa hawatoenda kupiga kura October mwaka huu na baadhi yao wakiapa kutomchagua Magu tena kwa unyanyasaji anao wafanyia!