Masi Lambo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 532
- 360
Sasa naamini Mungu anailinda Tanzania na korona, lakini pia sababu sisi ni wasafi sana kuhusu pua na mdomo, tunakinyaa cha vyote kutoka puani na mdomoni.
Yaani dunia nzima inavyoogopa korona na bado kuipata kwa wingi zaidi, pamoja na lockdown zao kali za hata kuuwa wananchi wasiofuata sheria zake, lakini sisi tupo tunakita kama vile korona haipo tena. Tupo mpirani na barabarani bila hofu.
Kama nilivyosema mwanzoni, kutokana na umakini wetu asilia wa makamasi na mate, tunaweza kuwa nchi yenye wagonjwa wachache zaidi Afrika mashariki.
Pambano halijaisha ila Mungu lazima asifiwe, Magufuli apewe pongezi kwa kututoa hofu na kuendeleza uchumi, waziri wa Afya asifiwe kwa kazi yake nzito aliyofanya bila kulala. Wananci wote wasifiwe kwa kujilinda na kutoa hofu, walioko Ulaya na Marekani wanashangaa na kutoamini.
Asante mwenyezi Mungu wa waislamu na wakristo wote hata marastafarian.
Amin.
Yaani dunia nzima inavyoogopa korona na bado kuipata kwa wingi zaidi, pamoja na lockdown zao kali za hata kuuwa wananchi wasiofuata sheria zake, lakini sisi tupo tunakita kama vile korona haipo tena. Tupo mpirani na barabarani bila hofu.
Kama nilivyosema mwanzoni, kutokana na umakini wetu asilia wa makamasi na mate, tunaweza kuwa nchi yenye wagonjwa wachache zaidi Afrika mashariki.
Pambano halijaisha ila Mungu lazima asifiwe, Magufuli apewe pongezi kwa kututoa hofu na kuendeleza uchumi, waziri wa Afya asifiwe kwa kazi yake nzito aliyofanya bila kulala. Wananci wote wasifiwe kwa kujilinda na kutoa hofu, walioko Ulaya na Marekani wanashangaa na kutoamini.
Asante mwenyezi Mungu wa waislamu na wakristo wote hata marastafarian.
Amin.