wanandoa badilikeni

Lakini nani wa kusema HAPANA? Yaani wewe ukitokewa huwezi kukataa?
 
Suruali zilizobana, min skirt za kuachia mapaja nje, 80% ya manyonyo kuwa nje, Mikao yenye kuleta mihemko kwa mwanamme sasa tutegemee nini hapo????????????:nono:
 


Good work shostito
 
ndoa ni tamu sana only if umeolewa na mtu unaempenda na anakupenda
 

Majibu ni kwamba, usiku wote, watu wawili mumeongea mpaka asubuhi;Stori nyingi huzunguzwa masaa hayo( Kwa lugha nyingine " Pillow Talk"), Hao unaowaona wakishikina mikono na kupigana mabegwa, STORI ZITAISHA BAADAE!!!!
 
[COLOR=darkslateblue said:
Mwasu;1175204]hapa umesema kweli kabisa rose sijui kwnin watu wakishaowana mapenzi yanapungua jamani me mpaka sometime naogopa hii kitu
.[/COLOR]

Si lazima muwe mnacheka barax2ni ndo muonekane mnapendana. Kuna maongezi ya hapa na pale munaweza kuwa mnaongea safari inaendelea. Kama mlikuwa mumelala usiku mzima mnapiga story zenu na mipango ya maisha ikawa imewekwa sawa si lazima muwe mnaongea wee kama hakuna story iliyojitokeza mkaanza kuidiscuss.

Mwasu Ndoa ni nzuri zaidi hata kipindi cha G/F na B/F kama umempata Umpendaye na Anakupenda Pia. Kwenye G/F na B/F bado kwanza mnasomana tabia, kwa hiyo kama mmelidhiana mkakubali kukaa pamoja kama life partner inamaana mmeamuwa kujitowa kwa kila mmoja wenu. Mnaweza kuifanya ndoa yenu yenye raha au yenye machungu kwa kadili nyie wenyewe mlivyojitowa. Zaidi muwe wazi kwa kila mmoja wenu na kuzungumza tofauti zenu ili kila moja ajuwe mwenzake anapenda nini na anachukia kitu gani. Hayo yote yanawezekana kama mkimshirikisha Mungu na siyo kwa Nguvu zenu. Mfanyane kuwa marafiki na kuchukuliana. Ujuwe mahitaji ya mwenzi wako na kuheshiana. Kwa mwanaume ujuwe kujali mke wako na Kumpenda. Kwa mdada muheshimu mumeo na ajuwe unamuheshimu. Msali pamoja munapoenda kulala na kuamkapo. Mungu akiwa kati yenu utasikia wengine wanalalamika ''wanaume watoto wa baba mmoja'' wewe unapeta tu na kumshukuru Mungu na kukemea kimoyo moyo kuwa siyo maneno ya kweli kwa huyu niliyepewa na Bwana. Kwa akina kaka utasikia ''wanawake wa siku hizi wako material zaidi hawajatulia huko maofisini'' Unasema kimoyo moyo siyo kweli kwa huyu niliyepewa na Bwana.

Karibuni kwenye Chama cha Wachache Rose 1980 na Mwasu na wengine wote. Mungu akawape kile kinachowafanana





 
uzoefu unaonyesha kwamba kuzoeana kwingi kunapunguza mahusiano. badilika kwa kudumisha mapenzi, ndoa haizeeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…