kwa kifupi tu ni kwambaKwa nn wanawake wakiachika ndio wanaanza kujitunza na kujiweka safi na wanakuwa pisi kali Haswa! Lakini
Akiwa ndani anavaa kama Anaenda kuuza mbogamboga au ndio Mazoea.
Najua wengi hapa watasingi waume hawatunzi....Hapana.
Mimi alhamdulillah nimejaaliwa elimu ya dini na ya dunia,Ila ni msela flani hivi...hahahaaaainamankusweke Jana niliona mchango wako kwenye masuala ya dini ya kiislam nikajisemea, jamaa huyu Kama sio sheikh Basi atakua ustaadh au Imam wa mskiti Fulani.
Kuumbe hayo hapo ndio lugha yako ya kawaida.
Ndo washindwe kunyoa na kuosha!?kwa kifupi tu ni kwamba
WAUME WA NDOA HUWA HAWAWATUNZI WAKE ZAO
Haya sasa mengineNdo washindwe kunyoa na kuosha!?
Ooooogh kumbe ndio maana...Sasa wakiachika si wanarudi sokoni? Lazima wajisoup upyaaaa
Nahisi wengi wanapata postpartum depression, majukumu ya mama na mke si mchezo..Hii hali hotokea wengi hasa wakishazaa wanajikataa yani hawajipendi tena.
Pia kuna wanawake wengine hawajipendi na ni wachafu wapowapo tu.
Hii pia moja ya sababu ya wanaume kuchepuka.
Tunaanza upyaaa kushindia vijoraWakishapata soko!
Imam πππinamankusweke Jana niliona mchango wako kwenye masuala ya dini ya kiislam nikajisemea, jamaa huyu Kama sio sheikh Basi atakua ustaadh au Imam wa mskiti Fulani.
Kuumbe hayo hapo ndio lugha yako ya kawaida.
Wakitoka nje ya Nyumba ndio wanajiremba wanaacha waume zao ndani,Sijui wanatafuta nn?Huu ndio ukweli sawa mwanamke anakuwa busy muda mrefu nyumbani lakini kwa kawaida akimaliza kazi zake lazima ajiweke vizuri sio kuvaa vizuri akiwa anatoka nje tu lakini hata wanaume nao ni wajibu wa kuwa wasafi home sio mpaka wakiwa wanatoka nje ndio nguo nzuri na perfume kibao japo mwanamke natural huwa wanajipenda maana huwa wanasema mwanamke usafi lakini wanaume pia lazima wawe wasafi sio wanawake zenu wanaona wanaume wasafi nje tu akija home mume anaacha harufu nyuma utasema gari la diesel.
haahahahah duuuSiku nyingine mke analala bila kuoga kasheshe muda wa kulala ndani ya shuka kutanuka shombo kama ya samaki si samaki kama vile mpo soko la ferry
hahhahahahhainamankusweke Jana niliona mchango wako kwenye masuala ya dini ya kiislam nikajisemea, jamaa huyu Kama sio sheikh Basi atakua ustaadh au Imam wa mskiti Fulani.
Kuumbe hayo hapo ndio lugha yako ya kawaida.
Mim pia hua najiulizaKwanini wanawake wakiachika ndio wanaanza kujitunza na kujiweka safi na wanakuwa pisi kali Haswa!
Lakini akiwa ndani anavaa kama Anaenda kuuza mbogamboga au ndio Mazoea.
Najua wengi hapa watasingi waume hawatunzi. Hapana.
huyo ni wako sisi wengine wake za watu hatuwi wachafu na hatupendi uchafu kuanzia nje mpaka ndaniKwanini wanawake wakiachika ndio wanaanza kujitunza na kujiweka safi na wanakuwa pisi kali Haswa!
Lakini akiwa ndani anavaa kama Anaenda kuuza mbogamboga au ndio Mazoea.
Najua wengi hapa watasingi waume hawatunzi. Hapana.