Wanandoa hili nalo vipi?

Wanandoa hili nalo vipi?

Kwa nn wanawake wakiachika ndio wanaanza kujitunza na kujiweka safi na wanakuwa pisi kali Haswa! Lakini
Akiwa ndani anavaa kama Anaenda kuuza mbogamboga au ndio Mazoea.
Najua wengi hapa watasingi waume hawatunzi....Hapana.
kwa kifupi tu ni kwamba
WAUME WA NDOA HUWA HAWAWATUNZI WAKE ZAO
 
inamankusweke Jana niliona mchango wako kwenye masuala ya dini ya kiislam nikajisemea, jamaa huyu Kama sio sheikh Basi atakua ustaadh au Imam wa mskiti Fulani.
Kuumbe hayo hapo ndio lugha yako ya kawaida.
Mimi alhamdulillah nimejaaliwa elimu ya dini na ya dunia,Ila ni msela flani hivi...hahahaaaa
 
Shida kwa wanaume,mwanamke akivaa vizuri mara anaambiwa unavaa kihuni utaniabisha kwenye jamii,akiachka akavaa hivo inakua pisi kali..
 
Kifupi ni kwamba wengi hujisahau na badhii wana ule uchafu wa asili,
Hasa watani zangu waha wengi wao ni wachafu wa asili
 
Huu ndio ukweli sawa mwanamke anakuwa busy muda mrefu nyumbani lakini kwa kawaida akimaliza kazi zake lazima ajiweke vizuri sio kuvaa vizuri akiwa anatoka nje tu lakini hata wanaume nao ni wajibu wa kuwa wasafi home sio mpaka wakiwa wanatoka nje ndio nguo nzuri na perfume kibao japo mwanamke natural huwa wanajipenda maana huwa wanasema mwanamke usafi lakini wanaume pia lazima wawe wasafi sio wanawake zenu wanaona wanaume wasafi nje tu akija home mume anaacha harufu nyuma utasema gari la diesel.
 
Hii ni kauli yangu ambayo huwa asema maranyingi sana wanawake wanaakili kabla ya kuolewa ila wakishaolewa tu hawana akili. Samahan msinichukulie vibaya.
Mwanamke akiwa peke yake anajituma maradufu na anakuwa na mipango ming yenye utekelezaji maana hana mtu wa kumlisha zaid ya kujilisha mwenyewe. So akiachika ama akiwa alone lazma aji brand aonekane tena ili apate soko. Akishapatikana hataki kuhangaika kama weng wao jinsi wanasema
 
Huu ndio ukweli sawa mwanamke anakuwa busy muda mrefu nyumbani lakini kwa kawaida akimaliza kazi zake lazima ajiweke vizuri sio kuvaa vizuri akiwa anatoka nje tu lakini hata wanaume nao ni wajibu wa kuwa wasafi home sio mpaka wakiwa wanatoka nje ndio nguo nzuri na perfume kibao japo mwanamke natural huwa wanajipenda maana huwa wanasema mwanamke usafi lakini wanaume pia lazima wawe wasafi sio wanawake zenu wanaona wanaume wasafi nje tu akija home mume anaacha harufu nyuma utasema gari la diesel.
Wakitoka nje ya Nyumba ndio wanajiremba wanaacha waume zao ndani,Sijui wanatafuta nn?
 
Kwanini wanawake wakiachika ndio wanaanza kujitunza na kujiweka safi na wanakuwa pisi kali Haswa!

Lakini akiwa ndani anavaa kama Anaenda kuuza mbogamboga au ndio Mazoea.

Najua wengi hapa watasingi waume hawatunzi. Hapana.
Mim pia hua najiuliza
 
Kwanini wanawake wakiachika ndio wanaanza kujitunza na kujiweka safi na wanakuwa pisi kali Haswa!

Lakini akiwa ndani anavaa kama Anaenda kuuza mbogamboga au ndio Mazoea.

Najua wengi hapa watasingi waume hawatunzi. Hapana.
huyo ni wako sisi wengine wake za watu hatuwi wachafu na hatupendi uchafu kuanzia nje mpaka ndani
 
Back
Top Bottom