Wanandoa magomvi ndani ya nyumba yanaondoa baraka kwenye familia

Wanandoa magomvi ndani ya nyumba yanaondoa baraka kwenye familia

Miss_Mariaah

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
2,176
Reaction score
4,979
Hii Kwa wanandoa walioana wakala kiapo na kuvalishana Pete madhabahuni.

Biblia inasema apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali Kwa Bwana, Mwanaume unapooa mke sahihi Mungu hua anaachilia baraka zake Mke ni kibali/Baraka ndomana Kuna watu wengi wakishaoa mambo Yao hua Yanakwenda vizuri milango ya baraka inafunguka uchumi Yani ni kufanikiwa tu.

Mume tambua baraka zako ziko Kwa mke wako ndomana unakuta mkigombana ndani ya nyumba basi mambo yanakua hayaendii kama ni biashara hakuna kitu yaani baraka zinafungwa nna shuhuda Kwa watu watu washkaj zangu wameyumba vibaya sababu ya magomvi na migogoro kwenye ndoa.

Niwaombe tu mlioko ndoani kaeni Kwa amani na kutafuta sana amani na wake zenu ili mzidi kufanikiwa na baraka za Mungu ziendelee kuishi kati yenu.

God is light and the light can't stay together with darkness hua vinajitenga always kama yeye alivotenganisha usiku na mchana vivo hivyo baraka za Mungu haziwez kukaa sehem yenye Giza or darkness nkimaanisha magomvi, kutukanana, kupigana, kuumizana, uzinzi na mambo kama hayo
 
Wote wanaogombana kwenye ndoa ni mijizi ilikwenda kuwinda ikawindwa yenyewe! Mmoja katoa hela bandia kumkomoa aliyemuuzia dhahabu feki! Hasara ni kwa yule anayeingia kwenye ndoa kwa kutojua masharti na vigezo kabla ya kuingia kwenye ndoa na matokeo yake ndo hayo! Masumbwi! Jera! Kuuana! Kutokujua sheria hakukuondolei hatia!
 
Wote wanaogombana kwenye ndoa ni mijizi ilikwenda kuwinda ikawindwa yenyewe! Mmoja katoa hela bandia kumkomoa aliyemuuzia dhahabu feki! Hasara ni kwa yule anayeingia kwenye ndoa kwa kutojua masharti na vigezo kabla ya kuingia kwenye ndoa na matokeo yake ndo hayo! Masumbwi! Jera! Kuuana! Kutokujua sheria hakukuondolei hatia!
Umeolewa? Tuanzie hapa
 
Biblia inasema apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali Kwa Bwana, Mwanaume unapooa mke sahihi Mungu hua anaachilia baraka zake
Mithali 19:14 inasema kuwa mke mwenye busara anatoka kwa BWANA.
Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na BWANA.
Mit 19:14 SUV


Umesema kuwa mtu akipata mke sahihi ni lazima apate baraka na mafanikio. Sasa usipopata mke sahihi maana yake ni kinyume chake bila ya kujali kuwa umeoa kwa kiapo na maagano??

Baada ya kugundua kuwa hakutoka kwa Bwana na ndio sababu hana busara mnagombana gombana, je, utaendelea kukaa na mke huyo asiye sahihi?
 
Hii Kwa wanandoa walioana wakala kiapo na kuvalishana Pete madhabahuni.

Biblia inasema apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali Kwa Bwana, Mwanaume unapooa mke sahihi Mungu hua anaachilia baraka zake Mke ni kibali/Baraka ndomana Kuna watu wengi wakishaoa mambo Yao hua Yanakwenda vizuri milango ya baraka inafunguka uchumi Yani ni kufanikiwa tu.

Mume tambua baraka zako ziko Kwa mke wako ndomana unakuta mkigombana ndani ya nyumba basi mambo yanakua hayaendii kama ni biashara hakuna kitu yaani baraka zinafungwa nna shuhuda Kwa watu watu washkaj zangu wameyumba vibaya sababu ya magomvi na migogoro kwenye ndoa.

Niwaombe tu mlioko ndoani kaeni Kwa amani na kutafuta sana amani na wake zenu ili mzidi kufanikiwa na baraka za Mungu ziendelee kuishi kati yenu.

God is light and the light can't stay together with darkness hua vinajitenga always kama yeye alivotenganisha usiku na mchana vivo hivyo baraka za Mungu haziwez kukaa sehem yenye Giza or darkness nkimaanisha magomvi, kutukanana, kupigana, kuumizana, uzinzi na mambo kama hayo
Semina za ndoa zingekuwa zinafanyika kwa umakini huenda zingepunguza tatizo hilo lakini nyingi hufanyika kama intertainment tu watu wacheke wale na kunywa watawanyike
 
Wote wanaogombana kwenye ndoa ni mijizi ilikwenda kuwinda ikawindwa yenyewe! Mmoja katoa hela bandia kumkomoa aliyemuuzia dhahabu feki! Hasara ni kwa yule anayeingia kwenye ndoa kwa kutojua masharti na vigezo kabla ya kuingia kwenye ndoa na matokeo yake ndo hayo! Masumbwi! Jera! Kuuana! Kutokujua sheria hakukuondolei hatia!
Umeongea kwa uchungu mkuu, nini shida?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Mithali 19:14 inasema kuwa mke mwenye busara anatoka kwa BWANA.
Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na BWANA.
Mit 19:14 SUV


Umesema kuwa mtu akipata mke sahihi ni lazima apate baraka na mafanikio. Sasa usipopata mke sahihi maana yake ni kinyume chake bila ya kujali kuwa umeoa kwa kiapo na maagano??

Baada ya kugundua kuwa hakutoka kwa Bwana na ndio sababu hana busara mnagombana gombana, je, utaendelea kukaa na mke huyo asiye sa

Mithali 19:14 inasema kuwa mke mwenye busara anatoka kwa BWANA.
Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na BWANA.
Mit 19:14 SUV


Umesema kuwa mtu akipata mke sahihi ni lazima apate baraka na mafanikio. Sasa usipopata mke sahihi maana yake ni kinyume chake bila ya kujali kuwa umeoa kwa kiapo na maagano??

Baada ya kugundua kuwa hakutoka kwa Bwana na ndio sababu hana busara mnagombana gombana, je, utaendelea kukaa na mke huyo asiye sahihi?
Ilo ni agano tayari halivunjiki mpaka kifo kiwetenganishe utabebactu msalaba wako sababu ndo fungu ulilolichagua
 
Semina za ndoa zingekuwa zinafanyika kwa umakini huenda zingepunguza tatizo hilo lakini nyingi hufanyika kama intertainment tu watu wacheke wale na kunywa watawanyike
Ndo tatizo liko hapo...ila reality ndo hiyo
 
Mithali 19:14 inasema kuwa mke mwenye busara anatoka kwa BWANA.
Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na BWANA.

Mit 25:24
Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi.
 
Ilo ni agano tayari halivunjiki mpaka kifo kiwetenganishe utabebactu msalaba wako sababu ndo fungu ulilolichagua
Yupo jamaa angu ambaye anasubiri siku Yesu atakapofanya Unyakuo wake nae hatokesekana,amemtaliki mke.
 
Umeongea kwa uchungu mkuu, nini shida?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
🎶Ninapata tabu moyoni Kwa kweli

Nilikupenda wewe lakini hunijali mamaaa

Tumekuwa sisi wawili kama sinema,hapa nyumbani kwetu Kila siku keleleee.

Lakini Kwa vile eeeeeeh

Ninaishi hapa Kwa wazazi wakooo

Mwenye sauti ni wewee

Naogopa fedhea mamaaa ooh mie

Naona aibu kweli mpenzi

Hapa ni Kwa wakwe zangu

Sisemi lolote Fanya upendavyoo🎶
 
[emoji445]Ninapata tabu moyoni Kwa kweli

Nilikupenda wewe lakini hunijali mamaaa

Tumekuwa sisi wawili kama sinema,hapa nyumbani kwetu Kila siku keleleee.

Lakini Kwa vile eeeeeeh

Ninaishi hapa Kwa wazazi wakooo

Mwenye sauti ni wewee

Naogopa fedhea mamaaa ooh mie

Naona aibu kweli mpenzi

Hapa ni Kwa wakwe zangu

Sisemi lolote Fanya upendavyoo[emoji445]
Mkuu huu wimbo kaimba nani? Mistari ya simanzi hivi

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu huu wimbo kaimba nani? Mistari ya simanzi hivi

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Screenshot_20231128-094358.png
 
Back
Top Bottom