Wanandoa ni lini mmeoga pamoja na kusuguana migongo?

Wanandoa ni lini mmeoga pamoja na kusuguana migongo?

Mkimuyangu

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2022
Posts
1,054
Reaction score
1,947
Nikisema hapa tuvue mashati, kila mtu aangalie mgongo wa mwenzake, tutakimbiana jinsi kulivyo na taka, sababu mikono yetu haifiki huko katika kujisugua.

Mwenye uwezo wa kukusugua ni mkeo peke yake, sasa jaribu kumwambie mke wangu twende tukaoge wote, au njoo nisugue mgongo uone atakavyokukwepa, bila kujua ni sunna katika dini zingine kuoga pamoja, hata mitume wa Mungu walifanya hivyo.
 
Ungeibalance mada kwa kuuliza "enyi Wanandoa ni lini mmeoga pamoja na kusuguana migongo?

Wewe umeegemeza kwa Mwanamke kama vile ni jukumu la Mwanamke kusugua mgongo wa Mwanaume na wake usuguliwe na nani?

Mkiambiwa muwalipe mishahara wake zenu mnapanic ila kila kitu mnawasukumia wao.
 
Ungeibalance mada kwa kuuliza "enyi Wanandoa ni lini mmeoga pamoja na kusuguana migongo?"
Wewe umeigemeza kwa Mwanamke kama vile ni jukumu la Mwanamke kusugua mgongo wa Mwanaume na wake usuguliwe na nani???

Mkiambiwa muwalipe mishahara wake zenu mnapanic ila kila kitu mnawasukumia wao.
Wanaume tuko simple sana kwa hilo,sizani kama mke ataanda maji halafu akamwambia mmewe tukaoge,halafu mume akakataa
 
1691760404667.png

KWANI LAZIMA USUGULIWE NA MTU...... NI UCHAFU TU UNAWASUMBUA.
 
Kwa jinsi maisha yanavyoniendesha mbioo najikuta cn mda uwo ingawa wife siku kibao anatak tuoge pmj sema me nakataa ili kuwahi mishe zng jap mara moja moja tunaoga pmj
 
Nikisema hapa tuvue mashati, kila mtu aangalie mgongo wa mwenzake, tutakimbiana jinsi kulivyo na taka, sababu mikono yetu haifiki huko katika kujisugua.

Mwenye uwezo wa kukusugua ni mkeo peke yake, sasa jaribu kumwambie mke wangu twende tukaoge wote, au njoo nisugue mgongo uone atakavyokukwepa, bila kujua ni sunna katika dini zingine kuoga pamoja, hata mitume wa Mungu walifanya hivyo.
Jana

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣umewaza nn mwanandoa alasiri hii?
Mkeo huwa hakuogeshi?
Piga chini huyo hajui kazi yake,eboh adhan kaja kwako kula bure tu 🤣
 
Kwa bahati mbaya akapitisha dodoki mpaka matakoni utafanyaje?
 
Back
Top Bottom