Nilinunua moja la kufanana hivyo pale Mlimani city ndani mle kuna duka sikumbuki jina vizuri (Warong kama sikosei). Ila kuna aina nyingi za blush za kuogea. ukikosa unaweza tumia mifuko ile wanauziaga machungwa chalinze au Segera 😀 inasugua vizuri tu. au tengeneza kisalfet.YAnauzwa wapi hyo
Kwani huwa huoshi matako? unatakiwa kuosha sehemu zote ili kuondoa viharufu.Kwa bahati mbaya akapitisha dodoki mpaka matakoni utafanyaje?
Nasuguliwa na Nani?najisugua
Ya mke ya mume?Kwa bahati mbaya akapitisha dodoki mpaka matakoni utafanyaje?
Wewe bachera?Nilinunua moja la kufanana hivyo pale Mlimani city ndani mle kuna duka sikumbuki jina vizuri (Warong kama sikosei). Ila kuna aina nyingi za blush za kuogea. ukikosa unaweza tumia mifuko ile wanauziaga machungwa chalinze au Segera 😀 inasugua vizuri tu. au tengeneza kisalfet.
Umeniwahi mkuu, nilitaka nimfumbue akili. Itakuwa yupo Dunia nyingine huyuMkuu, unaishi kwenye dunia yako au dunia hiihii ambayo na mimi nimo?
Siku hizi kuna madodoki yanafika mpaka mgongoni. Nimeshangaa sana ulivyosema mtu anaweza kuwa na taka mgongoni!
Ninalo langu nilinunua buku linamaliza mwaka...lipo vzuri linafuta hadi dhambiNilinunua moja la kufanana hivyo pale Mlimani city ndani mle kuna duka sikumbuki jina vizuri (Warong kama sikosei). Ila kuna aina nyingi za blush za kuogea. ukikosa unaweza tumia mifuko ile wanauziaga machungwa chalinze au Segera 😀 inasugua vizuri tu. au tengeneza kisalfet.
Ninalo langu nilinunua buku linamaliza mwaka...lipo vzuri linafuta hadi dhambiNilinunua moja la kufanana hivyo pale Mlimani city ndani mle kuna duka sikumbuki jina vizuri (Warong kama sikosei). Ila kuna aina nyingi za blush za kuogea. ukikosa unaweza tumia mifuko ile wanauziaga machungwa chalinze au Segera 😀 inasugua vizuri tu. au tengeneza kisalfet.
Kwa wanaopendana lakiniHv mbn ndoa Ina mambo mengi hv 🤔🤔Kwa hyo kuna kuoga pamoja?
Kuoga pamoja kunatengeneza upendoUmeniwahi mkuu, nilitaka nimfumbue akili. Itakuwa yupo Dunia nyingine huyu
Nakazia [emoji1787]Kwa wanaopendana lakini
Mnaoga pamoja kwenye bafu lipi? Nyumba za kupanga, au umejenga kapango kako bafu kama uchochoro. Na unaoga na mwanamke yupi ambaye ulimuandaa mazingira hayo toka lini. Hivi vitu vinahitaji nafasi, na muwe mnapendana kweli sio kukurupuka njoo nisugue mgongo lazima akukwepeNikisema hapa tuvue mashati, kila mtu aangalie mgongo wa mwenzake, tutakimbiana jinsi kulivyo na taka, sababu mikono yetu haifiki huko katika kujisugua.
Mwenye uwezo wa kukusugua ni mkeo peke yake, sasa jaribu kumwambie mke wangu twende tukaoge wote, au njoo nisugue mgongo uone atakavyokukwepa, bila kujua ni sunna katika dini zingine kuoga pamoja, hata mitume wa Mungu walifanya hivyo.
Nenda kwenye Masaji kusuguliwa mgongo na kunyooshwa mgongo.Nikisema hapa tuvue mashati, kila mtu aangalie mgongo wa mwenzake, tutakimbiana jinsi kulivyo na taka, sababu mikono yetu haifiki huko katika kujisugua.
Mwenye uwezo wa kukusugua ni mkeo peke yake, sasa jaribu kumwambie mke wangu twende tukaoge wote, au njoo nisugue mgongo uone atakavyokukwepa, bila kujua ni sunna katika dini zingine kuoga pamoja, hata mitume wa Mungu walifanya hivyo.
Kama vile unamvomuandaga mwenzako kabla ya mechi ndivyo ilivyo rahisi kuoga pamojaMnaoga pamoja kwenye bafu lipi? Nyumba za kupanga, au umejenga kapango kako bafu kama uchochoro. Na unaoga na mwanamke yupi ambaye ulimuandaa mazingira hayo toka lini. Hivi vitu vinahitaji nafasi, na muwe mnapendana kweli sio kukurupuka njoo nisugue mgongo lazima akukwepe