Wanandoa, unaweza ku deal vipi na a "nugging" woman?

Wanandoa, unaweza ku deal vipi na a "nugging" woman?

felakuti

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
659
Reaction score
1,207
Wanandoa wa kidigitali..

Mwanamke mwenye mdomo,..mwanamke anakupandishia[emoji23], jaman hizi ndoa za sasahivi zinaficha mengi..

Ndoa haswa za karne hii ya mwanamke ambaye ana digrii ama masters, anakutana tena na mwenzake mwenye digirii na masters with phd...

Kuna wakati nikawa najiuliza hadi mtu anachukua hatua ya kumuua mwenza wake, hua inakua nini? Kumbe ndoa za kidigitali ..[emoji706]

Ndoa na mahusiano yalikua zamani za wazee wetu , sio uchafu wa sasa..mimi naita uchafu tu, ndoa za sasa ni uchafu, hakuna kuheshimiana, hakuna upendo, upendo wa kinafiki, watu wanawindana kama wachawi, kujali hakuna, wengine midomo michafu inaongea ovyo.

Sometimes u miss the old school days, that old love you had, unajua kuna mwanamke ukimtajia nyimbo kama lady in red ya chriss de B anaiimba kama si yote na kukumbuka those old school days ambapo naona mahusinao yalikua real, ila wa sasa ukimtajia hio nyimbo hawez kufahamu, ila ukimtajia komosava ama sukari anaimba hadi na biti, hawa ndio wanawake wa kuoa?
 
Wanandoa wa kidigitali..

Mwanamke mwenye mdomo,..mwanamke anakupandishia[emoji23], jaman hizi ndoa za sasahivi zinaficha mengi..

Ndoa haswa za karne hii ya mwanamke ambaye ana digrii ama masters, anakutana tena na mwenzake mwenye digirii na masters with phd...

Kuna wakati nikawa najiuliza hadi mtu anachukua hatua ya kumuua mwenza wake, hua inakua nini? Kumbe ndoa za kidigitali ..[emoji706]

Ndoa na mahusiano yalikua zamani za wazee wetu , sio uchafu wa sasa..mimi naita uchafu tu, ndoa za sasa ni uchafu, hakuna kuheshimiana, hakuna upendo, upendo wa kinafiki, watu wanawindana kama wachawi, kujali hakuna, wengine midomo michafu inaongea ovyo.

Sometimes u miss the old school days, that old love you had, unajua kuna mwanamke ukimtajia nyimbo kama lady in red ya chriss de B anaiimba kama si yote na kukumbuka those old school days ambapo naona mahusinao yalikua real, ila wa sasa ukimtajia hio nyimbo hawez kufahamu, ila ukimtajia komosava ama sukari anaimba hadi na biti, hawa ndio wanawake wa kuoa?
Mwambie ukweli mkavu kuwa kama haachi., nawe unaachia atafute pengine panapomfaa. Ila kabla ya kufikia hili, uangalie kama ni tabia au kuna sababu ambazo nawe unachangia.
 
Kwani wakisoma hizo hadithi zitawafanya wasiharibikiwe? kama Gomora na Sodoma waliharibikiwa, kuna nini cha maana kwenye vitabu hivyo vya ngano za kiarabu?
Je Hujui Dodoma na Gomora iliharibika kwakua ndan yake, hapakua namtu alomcha Mungu zaidi ya familia ya Lutu tu na ndio walopona?.


Muwe mnatoa mifano yenye Uhalisia .


Kwa Ufupi, hamna Mahali popote mwanadam atastaharabishwa zaidi ya vitabu vitakatifu vya dini.

Hamnaaaa .
 
Je Hujui Dodoma na Gomora iliharibika kwakua ndan yake, hapakua namtu alomcha Mungu zaidi ya familia ya Lutu tu na ndio walopona?.


Muwe mnatoa mifano yenye Uhalisia .


Kwa Ufupi, hamna Mahali popote mwanadam atastaharabishwa zaidi ya vitabu vitakatifu vya dini.

Hamnaaaa .
Dodoma tena! Waafrika kwa wakati ule hata sasa hatukuwa tumeharibikiwa kama hawa majambazi na matapeli waliotuletea laana zao wakaziita dini.
 
Elimu, Kijiuchumi, globalizesheni, Umaarufu , hivo vinne, kimojawapo KIKIWA Kwa mwanamke ,tayari,[emoji23]
Brother, its terrible. Kwa sasa naona bora uwe na PAID SEX..unamlipa mtu kulingana na mfuko wako na unachotaka ukishamaliza haja zako basi unaendelea na mishe zako za kutafuta hela. Au uwe na mahusiano kama ya cr 7 na yule mpenz wake, hakuna ndoa mnaishi tu na iwe nzur zaid kama kila mtu anajiweza kiuchumi ikifika mahal mmechokana basi kil mtu anashika njia yake masuala sjui ya kugawana mali hakuna
Watu hawajiulizi hadi mastaa wakubwa kama Hakimi wanaweka mali zao kwa jina la mama mzazi
 
And now she is nugging, and nugging and nugging again.

Ma bro lia lia, Merry Christmas
How old is your dad and mum? Kama wako chini ya miaka 45 hao ni digital married couples , vishetani vidogovidogo.
 
Back
Top Bottom