Wanandoa, unaweza ku deal vipi na a "nugging" woman?

Wanandoa, unaweza ku deal vipi na a "nugging" woman?

Ni rahisi sana kumjua nugging Human wakati wa Uchumba, ukishamuoa aisee Maisha ni Magumu sana, sina mbinu zaidi ya kukaa Bar, kukwepa kurudi home, na hayo siyo maisha !
Ni rahis sana, mpe muda halaf pia utamjua nyakati ngumu
Tatizo watu wanaupeleka uchumba faster, ndipo wanapo miss red flags
 
😃😃😃nimekumbuka husiano moja nilikuwa mkali balaa Yani tunaweza zózana had nikajishangas the way sipend ropoka na naongeaga Kwa vituo ila pale Ilikuwa lazima had nikawa najiuliza nimekuwaje


yule mwanaume alikuwa hajui kucare hajui kusema asante,akikusea huwez sikia samahani,hawez kubembeleza na majibu machafu yalikuwa ndio mambo yake
Kunawakati inabid uende nae sawa tu mambo yajipe
Kunawanaume Dunia ya mapenz hàwajawah kuijua inatak nn
Wajitafakar namna unvomtreat mwanamke wako,huenda ndio shida ilipo
Hakuna mwanamke mjinga anaetak kumpoteza mtu anaemtreat vizuri na kumpenda hayupo huyo mwanamke
Haya recho leo nikupeleke kwa mpalange
 
Brother, its terrible. Kwa sasa naona bora uwe na PAID SEX..unamlipa mtu kulingana na mfuko wako na unachotaka ukishamaliza haja zako basi unaendelea na mishe zako za kutafuta hela. Au uwe na mahusiano kama ya cr 7 na yule mpenz wake, hakuna ndoa mnaishi tu na iwe nzur zaid kama kila mtu anajiweza kiuchumi ikifika mahal mmechokana basi kil mtu anashika njia yake masuala sjui ya kugawana mali hakuna
Watu hawajiulizi hadi mastaa wakubwa kama Hakimi wanaweka mali zao kwa jina la mama mzazi
Ngono mkuuu kiroho inakuwa kama maaagano ssa kuna wakati utachota maaagano mengi sana na mitosis kibao
 
Back
Top Bottom