Wanandoa, unaweza ku deal vipi na a "nugging" woman?

Wanandoa, unaweza ku deal vipi na a "nugging" woman?

Wanandoa wa kidigitali..

Mwanamke mwenye mdomo,..mwanamke anakupandishia[emoji23], jaman hizi ndoa za sasahivi zinaficha mengi..

Ndoa haswa za karne hii ya mwanamke ambaye ana digrii ama masters, anakutana tena na mwenzake mwenye digirii na masters with phd...

Kuna wakati nikawa najiuliza hadi mtu anachukua hatua ya kumuua mwenza wake, hua inakua nini? Kumbe ndoa za kidigitali ..[emoji706]

Ndoa na mahusiano yalikua zamani za wazee wetu , sio uchafu wa sasa..mimi naita uchafu tu, ndoa za sasa ni uchafu, hakuna kuheshimiana, hakuna upendo, upendo wa kinafiki, watu wanawindana kama wachawi, kujali hakuna, wengine midomo michafu inaongea ovyo.

Sometimes u miss the old school days, that old love you had, unajua kuna mwanamke ukimtajia nyimbo kama lady in red ya chriss de B anaiimba kama si yote na kukumbuka those old school days ambapo naona mahusinao yalikua real, ila wa sasa ukimtajia hio nyimbo hawez kufahamu, ila ukimtajia komosava ama sukari anaimba hadi na biti, hawa ndio wanawake wa kuoa?

Ni rahisi sana kumjua nugging Human wakati wa Uchumba, ukishamuoa aisee Maisha ni Magumu sana, sina mbinu zaidi ya kukaa Bar, kukwepa kurudi home, na hayo siyo maisha !
 
Wanandoa wa kidigitali..

Mwanamke mwenye mdomo,..mwanamke anakupandishia[emoji23], jaman hizi ndoa za sasahivi zinaficha mengi..

Ndoa haswa za karne hii ya mwanamke ambaye ana digrii ama masters, anakutana tena na mwenzake mwenye digirii na masters with phd...

Kuna wakati nikawa najiuliza hadi mtu anachukua hatua ya kumuua mwenza wake, hua inakua nini? Kumbe ndoa za kidigitali ..[emoji706]

Ndoa na mahusiano yalikua zamani za wazee wetu , sio uchafu wa sasa..mimi naita uchafu tu, ndoa za sasa ni uchafu, hakuna kuheshimiana, hakuna upendo, upendo wa kinafiki, watu wanawindana kama wachawi, kujali hakuna, wengine midomo michafu inaongea ovyo.

Sometimes u miss the old school days, that old love you had, unajua kuna mwanamke ukimtajia nyimbo kama lady in red ya chriss de B anaiimba kama si yote na kukumbuka those old school days ambapo naona mahusinao yalikua real, ila wa sasa ukimtajia hio nyimbo hawez kufahamu, ila ukimtajia komosava ama sukari anaimba hadi na biti, hawa ndio wanawake wa kuoa?


Kosea mambo yooote, ila usikosee kuoa, that is all..!!

Hivi kwani ndoa ni jambo la kukurupuka? Mlikuwa na muda wa kutosha kumjua mwenzako kabla ya kuishi pamoja, sasa kipindi cha kujuana na huyo mwenzako ndio kipindi muhimu sana cha kuamua utaishi nae au utampiga chini haraka sababu kuna dalili zote unajua kabisa huyo sio wife material, dalili nyingi, sasa kama hujafanya maamuzi sahihi kipindi cha mahusiano kabla ya ndoa matatizo ndio haya unaleta huku..!!

Nyie msikute kipindi cha kumjua mwezako nyie mlikuwa kila siku kujirusha clubs au mko bars au mko mnakula raha za mjini sehemu mbali mbali na kusahau jambo muhimu sana je huyu atanifaa nikiishi nae? Sasa kama kila siku ilikuwa mna piga starehe, maisha ya ndoa sio hayo, mlikosea.

Bora kuishi na shetani kuliko kukosea kuoa mwanamke asiyekufaa kuishi nae..!!
 
Mimi na Swali Moja, WANAWAKE WENU HATA WAKIWA NYUMBAN, MARA YA MWISHO UMEMKUTA LINI ANASOMA BIBLIA AU QURAN TAKATIFU??.
Hii point ni kali sana.

Kuna uwiano mkubwa kati ya Ndoa na Mungu, hivi vitu ni vya kiumbaji sisi tunaenda navyo kimtaani taani.
 
Kosea mambo yooote, ila usikosee kuoa, that is all..!!

Hivi kwani ndoa ni jambo la kukurupuka? Mlikuwa na muda wa kutosha kumjua mwenzako kabla ya kuishi pamoja, sasa kipindi cha kujuana na huyo mwenzako ndio kipindi muhimu sana cha kuamua utaishi nae au utampiga chini haraka sababu kuna dalili zote unajua kabisa huyo sio wife material, dalili nyingi, sasa kama hujafanya maamuzi sahihi kipindi cha mahusiano kabla ya ndoa matatizo ndio haya unaleta huku..!!

Nyie msikute kipindi cha kumjua mwezako nyie mlikuwa kila siku kujirusha clubs au mko bars au mko mnakula raha za mjini sehemu mbali mbali na kusahau jambo muhimu sana je huyu atanifaa nikiishi nae? Sasa kama kila siku ilikuwa mna piga starehe, maisha ya ndoa sio hayo, mlikosea.

Bora kuishi na shetani kuliko kukosea kuoa mwanamke asiyekufaa kuishi nae..!!
Great thinking mkuu, ila kwani mkuu mimi wakat wa uchumba siwez kujiweka kua mtakatifu wa watakatifu ila lengo likishatimia la kuolewa ndio naonyesha sasa makucha yangu..unafikir kwanini mauaji hua yanatokea kwa wanandoa tayar na sio wachumba ama wapenzi ambao ni nadra sana kusikia matukio yao
 
Shida ni hizi ndoa zenye cheti cha serikali zinampa mwanamke uhakika haswa hasa wa kisheria. Cha kufanya ishi naye akijua akizingua unafunga ndoa na mwingine. Hata mchepuko ukijua umeachana na mkeo na yeye ndiye main ataanza kuzingua tu. Nadhani wanaume waoe kienyeji tu toa mahali sepa masuala ya cheti cha ndoa achaneni nayo kabisa hayapo kibiblia wala kimaandiko na ndiyo yanayoleta shida kubwa.
 
Shida ni hizi ndoa zenye cheti cha serikali zinampa mwanamke uhakika haswa hasa wa kisheria. Cha kufanya ishi naye akijua akizingua unafunga ndoa na mwingine. Hata mchepuko ukijua umeachana na mkeo na yeye ndiye main ataanza kuzingua tu. Nadhani wanaume waoe kienyeji tu toa mahali sepa masuala ya cheti cha ndoa achaneni nayo kabisa hayapo kibiblia wala kimaandiko na ndiyo yanayoleta shida kubwa.
Wewe mwanamke?
 
Wanandoa wa kidigitali..

Mwanamke mwenye mdomo,..mwanamke anakupandishia[emoji23], jaman hizi ndoa za sasahivi zinaficha mengi..

Ndoa haswa za karne hii ya mwanamke ambaye ana digrii ama masters, anakutana tena na mwenzake mwenye digirii na masters with phd...

Kuna wakati nikawa najiuliza hadi mtu anachukua hatua ya kumuua mwenza wake, hua inakua nini? Kumbe ndoa za kidigitali ..[emoji706]

Ndoa na mahusiano yalikua zamani za wazee wetu , sio uchafu wa sasa..mimi naita uchafu tu, ndoa za sasa ni uchafu, hakuna kuheshimiana, hakuna upendo, upendo wa kinafiki, watu wanawindana kama wachawi, kujali hakuna, wengine midomo michafu inaongea ovyo.

Sometimes u miss the old school days, that old love you had, unajua kuna mwanamke ukimtajia nyimbo kama lady in red ya chriss de B anaiimba kama si yote na kukumbuka those old school days ambapo naona mahusinao yalikua real, ila wa sasa ukimtajia hio nyimbo hawez kufahamu, ila ukimtajia komosava ama sukari anaimba hadi na biti, hawa ndio wanawake wa kuoa?
sio nugging ni nagging wife,lakini ni kama ambavyo wanawake wanavyoweza kudeal na mwanaume mlevi
 
Back
Top Bottom