Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,690
Kuna lile tangazo la familia K*n*om na hasa ni kwa ajili ya upangaji wa uzazi kwa Wanandoa! Nina penda kujua ni Wanandoa wangapi wanatekeleza utumiaji wa hii bidhaa maalum kwa ajili yao au ni ngamu ngamu tu kila mkutanapo???????:A S 39::A S 39::A S 39: