Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaa[emoji23][emoji23]Mmh mimi nimeongea kwa ujumla wake lakini mimi kabila langu ni mix grill ya mluya msandawe mmasai na mmanda
www.jamiiforums.com
[emoji1545][emoji1545]SoC02 - Elimu ya Mahusiano ianze kutolewa shuleni
Wengi watapigwa na butwaa kwanini natamani elimu ya mahusiano itolewe mashuleni tena mahusiano ya kimapenzi. Nitabaki kusimamia kwamba elimu ya mahusiano ya kimapenzi itolewe mashuleni, ikiwezekana kama somo la lazima kuanzia ngazi ya elimu ya msingi mpaka elimu ya sekondari. Elimu inatakiwa...www.jamiiforums.com
Kwa wale tuliofata mapenzi na faraja ndoani ndo tunaoteseka mapenzi yakiishaWanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa muda mfupi.
Yaliyomo moyoni yangejiandika usoni tungeshuhudia mengi ya ajabu mno.
[emoji24][emoji24][emoji24]Ogopen wanawake huyu amepiga selfie na mume wake anaekata roho akamtumia mchepuko wake kumwambia sasa rasmi wapo huru na penzi lao[emoji174][emoji174][emoji174]View attachment 2501895
Wanawake viumbe wa ajabu sanaKuna huyu alienda kumzika mpz wake alijiua kisa wivu,hapa akimuaga marehemu🥱View attachment 2501914
Mkuu wachaga wala hatuna shida na mtu mkiwaparamia dada zetu inakula kwenu ,hawa tunawamudu sisi wenyewe[emoji16][emoji16]Mwaka huu hizi ishu zimevuma sana hasa mikoa ya Arusha na Moshi, sijui kuna nini huko kwa watani zangu
Watakataa ila ndo ukweli
Nilistaafu mwaka jana nikiwa na miaka 60 kama Afisa Mwandamizi. Nilichukua akiba yangu ya milioni 97 kutoka benki, na nikatumia milioni 25 kuanzisha biashara ya mke wangu ili aweze kugharamia mahitaji yake binafsi. Sehemu ya pesa nyingine niliitenga pembeni kwa ajili ya matumizi ya familia yangu, huku nyingine nikiwekeza kwenye biashara yangu. Biashara ya mke wangu iliendelea vizuri kama yangu.Wanaanzaje kukataa wakati asilimia 95% wanawake waneolewa na wale wasiowapenda na 95% wanaume wanewaoa wale wasiowapenda ndio sababu unaona migogoro na ukatili kwenye ndoa haviishi sababu hawa watu hawakupendana isipokua walioana sababu ya mihemuko au wamepeana mimba hivo wanataka kuficha aibu basi, ni 5% walipata bahati ya kumatch na hao ndio wana amani kwenye ndoa hapo hawapeani talaka, hawauwani, hawana migogoro mikubwa
Ndoa nyingi zimevaa barakoaWanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa muda mfupi.
Yaliyomo moyoni yangejiandika usoni tungeshuhudia mengi ya ajabu mno.
Huyu dada ni rafiki wa utotoni[emoji24][emoji24][emoji24]Ndoa nyingi zimevaa barakoa