[emoji41][emoji41] natafuta emoji ya kukohoa siioniCom 2 me.. Am lonely [emoji25]
Dah I wishNjoo nikupe hug la maana baby
Dah I wish
When you are ready , come n get it.I really need a hug today!
Hadi nilifungie safari?When you are ready , come n get it.
😃😃😃😃, Wewe mzee hivyo unakuaje lonely?Com 2 me.. Am lonely [emoji25]
Your wish is my....Dah I wish
Ndio sisyHadi nilifungie safari?
Hahahahaaaaaa!mmh mimi nimeongea kwa ujumla wake lakini mimi kabila langu ni mix grill ya mluya msandawe mmasai na mmanda
Pole mkuuKaka Mshana nakubaliana na thread yako. Mimi na Wife tuliishi miaka 13 tukabarikiwa kupata Mali. Navyokuambia tumetengana anataka Mali zote amiliki yeye. Patamu hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
usimuoe huyoma blaza mshana, upo sahihi kabisa.. juzi kati nimetoka kuulizwa na mchumba kama kwa wanandoa wakatoliki mmoja akifa mwingine anaruhusiwa kuoa/kuolewa, nkajibu hairuhusiwi, akauliza sasa kwanini hairuhusiwi wakati 2nasema kifo ndo kitakachowatenganisha... nkahisi kuuliwa uliwa huko mbeleni..
ni changamoto mkuu..
naunga mkono hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni wa kabila gani?kuna makabila yanayothamini mali kuliko utu!