Wanandoa wengi hawapendani

Wanandoa wengi hawapendani

[emoji41][emoji41] natafuta emoji ya kukohoa siioni
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2], Wewe mzee hivyo unakuaje lonely?
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji144][emoji144][emoji144][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
ma blaza mshana, upo sahihi kabisa.. juzi kati nimetoka kuulizwa na mchumba kama kwa wanandoa wakatoliki mmoja akifa mwingine anaruhusiwa kuoa/kuolewa, nkajibu hairuhusiwi, akauliza sasa kwanini hairuhusiwi wakati 2nasema kifo ndo kitakachowatenganisha... nkahisi kuuliwa uliwa huko mbeleni..
ni changamoto mkuu..
naunga mkono hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
usimuoe huyo
 
Kuna familia moja nakaa nayo nami niko ndani ya hiyo family yan hivo ulivosema ndo linalosubiriwa mana kilakitu wanachohitaji duniani na sehemu nyingi za hapa duniani wameshaenda basi vitimbwi vya moyoni ndio vilivyobaki.Bora amani ya moyo kuliko furaha ya mali kwakweli.
 
Back
Top Bottom