Mambo hata magumu sana,nilioa mke wa kwanza akafariki,wa pili tukazinguana tukaachana,alinunua plot yake akiwa kwangu,nikanunua yangu ngoma ikawa draw,alinikuta na nyumba,tukaja zinguana na kuachana anadai tuuze nyumba tugawane Kuna jasho lake wakati kiwanja chale sijamuuliza chochote,nikamwambia nenda mahakamani,nikakumalize huko huko,mpaka Leo kimya anadai namtishia uchawi.
Mkwara tu mpaka Leo kimyaaa,nimeona mwingine Muha,naw simsomi ingawa nimepata name watoto wawili.
One day,watoto wamegombana,akatoa sentensi hiyo mpaka Leo namcheki tu,namnukuu,kwani katika Dunia ya Leo,maisha baba Hana thamani hata kidogo.
Namcheki tu,nikikaribia kustaafu MUNGU akinijaalia uhai natafuta sababu namtimua,kwanza Waha wachawi sana,mama mamaeeee zao