Wanangu hawapendani

Wanangu hawapendani

Kwakweli kama mzazi naumia na nakosa raha sana

Ni vijana wangu, huyu mdogo hana kabisa heshima kwa kaka yake, nimepoteza hela nyingi kumgharamia ila amevuruga kila kitu

Na mama yake hakiwa mtetezi wake mkuu

Niliwaita, wote wawili jana na nikawaambia ule wimbo wa baatu buduju,nyie watoyowa baba mmojaa

Kama malizipo, kama manyumba yapoo, nyie ni watoto wafaza mmoja, nyie niwatoto wa dadi mmoja

Nikawashikinisha mikono nakuwataka wapendane, kwani wawo nivijana wangu

Nachoja sana, huyu mudogo pulosip.a ni musubufu saana
Nimepoteza zadi ya miriwonu sabibi kumushugurikiya,ira amevuruda naamama, yakeanamutetea uyu muke wagu mudogo yurewa piri

Wakubwa wezangu, mali zipo ila vijana wangu hawapendani, nakosa furaha.
Acha makUsudi wewe.
 
Kama kunyosha maelezo tu, umeshindwa.

Tutajuaje kama unaweza kuwalea vizuri hao watoto wako?
20241029_165603.jpg
 
Kwakweli kama mzazi naumia na nakosa raha sana

Ni vijana wangu, huyu mdogo hana kabisa heshima kwa kaka yake, nimepoteza hela nyingi kumgharamia ila amevuruga kila kitu

Na mama yake hakiwa mtetezi wake mkuu

Niliwaita, wote wawili jana na nikawaambia ule wimbo wa baatu buduju,nyie watoyowa baba mmojaa

Kama malizipo, kama manyumba yapoo, nyie ni watoto wafaza mmoja, nyie niwatoto wa dadi mmoja

Nikawashikinisha mikono nakuwataka wapendane, kwani wawo nivijana wangu

Nachoja sana, huyu mudogo pulosip.a ni musubufu saana
Nimepoteza zadi ya miriwonu sabibi kumushugurikiya,ira amevuruda naamama, yakeanamutetea uyu muke wagu mudogo yurewa piri

Wakubwa wezangu, mali zipo ila vijana wangu hawapendani, nakosa furaha.
😀😀
kwa mwandiko huu ngoja waendelee kukusumbua tu.
 
Ongea na mama yao vizuri atakuonyeshe baba zake siyo wanao hao
 
Kwakweli kama mzazi naumia na nakosa raha sana

Ni vijana wangu, huyu mdogo hana kabisa heshima kwa kaka yake, nimepoteza hela nyingi kumgharamia ila amevuruga kila kitu

Na mama yake hakiwa mtetezi wake mkuu

Niliwaita, wote wawili jana na nikawaambia ule wimbo wa baatu buduju,nyie watoyowa baba mmojaa

Kama malizipo, kama manyumba yapoo, nyie ni watoto wafaza mmoja, nyie niwatoto wa dadi mmoja

Nikawashikinisha mikono nakuwataka wapendane, kwani wawo nivijana wangu

Nachoja sana, huyu mudogo pulosip.a ni musubufu saana
Nimepoteza zadi ya miriwonu sabibi kumushugurikiya,ira amevuruda naamama, yakeanamutetea uyu muke wagu mudogo yurewa piri

Wakubwa wezangu, mali zipo ila vijana wangu hawapendani, nakosa furaha.
 
Kwakweli kama mzazi naumia na nakosa raha sana

Ni vijana wangu, huyu mdogo hana kabisa heshima kwa kaka yake, nimepoteza hela nyingi kumgharamia ila amevuruga kila kitu

Na mama yake hakiwa mtetezi wake mkuu

Niliwaita, wote wawili jana na nikawaambia ule wimbo wa baatu buduju,nyie watoyowa baba mmojaa

Kama malizipo, kama manyumba yapoo, nyie ni watoto wafaza mmoja, nyie niwatoto wa dadi mmoja

Nikawashikinisha mikono nakuwataka wapendane, kwani wawo nivijana wangu

Nachoja sana, huyu mudogo pulosip.a ni musubufu saana
Nimepoteza zadi ya miriwonu sabibi kumushugurikiya,ira amevuruda naamama, yakeanamutetea uyu muke wagu mudogo yurewa piri

Wakubwa wezangu, mali zipo ila vijana wangu hawapendani, nakosa furaha.

Odaodekana ona bafua bakale sanae pole [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom