Wanangu hawapendani

Wanangu hawapendani

agonalile

Member
Joined
Jan 29, 2023
Posts
50
Reaction score
228
Kwakweli kama mzazi naumia na nakosa raha sana

Ni vijana wangu, huyu mdogo hana kabisa heshima kwa kaka yake, nimepoteza hela nyingi kumgharamia ila amevuruga kila kitu

Na mama yake hakiwa mtetezi wake mkuu

Niliwaita, wote wawili jana na nikawaambia ule wimbo wa baatu buduju,nyie watoyowa baba mmojaa

Kama malizipo, kama manyumba yapoo, nyie ni watoto wafaza mmoja, nyie niwatoto wa dadi mmoja

Nikawashikinisha mikono nakuwataka wapendane, kwani wawo nivijana wangu

Nachoja sana, huyu mudogo pulosip.a ni musubufu saana
Nimepoteza zadi ya miriwonu sabibi kumushugurikiya,ira amevuruda naamama, yakeanamutetea uyu muke wagu mudogo yurewa piri

Wakubwa wezangu, mali zipo ila vijana wangu hawapendani, nakosa furaha.
 
Kwakweli kama mzazi ,na humiya na nakosa raha sana

Ni vijaana wangu,huyu mdogo hana kabisa,heshima kwa kaka yake,nimepoteza hela nyingi kumugalamiya ila amevuruga kila kitu

Na mama yake hakiwa mtetezi waake,mkuu

Niliwaita,wote wawili jana na nika waambia hule wimbo wa baatu buduju,nyie watoyowa baba mmojaa

Kam malizipo,kama manyumba yapoo,nyie niwatoro wafaza mmoja,nyie niwatoyowa dadi mmoja

Nikawashikinisha mikono nakuwataka wapendane,kwani wawo nivijana wamgu

Nachoja sana, huyu mudogo pulosip.a ni musubufu saana
Nimepoteza zadi ya miriwonu sabibi kumushugurikiya,ira amevuruda naamama,yakeanamutetea uyu muke wagu mudogo yurewa piri

wakubwawezangu,mari zipo ira vijaawangu awapendani,nakoasa fulaha,
Huhu muhandiko adi tuherewe tutatumiya muda mwingi.
Jitahidi yurewa piri hamuheshi yurewa kwanza.
Sijuhi umeniherewa,?
 
Moja ya nyuzi zilizoandikwa harafu unahisi km unamuona muandikaji anavyoumia. Kwa huu uandishi inaonekana ni mtu mwenye uchungu sana...

Mzee pole sana, hao watoto wako inavoonesha hawawezi kuja kupatana na hata wakipatana itakuwa ni ya kinafiki tu. Hakikisha unawaachia wosia ulionyooka kuhusu mgao wa mali zako zote kabla hujafa. Ukifa wanaweza kuja kuuana
 
Back
Top Bottom