Wanangu hawapendani

Wanangu hawapendani

Kwakweli kama mzazi naumia na nakosa raha sana

Ni vijana wangu, huyu mdogo hana kabisa heshima kwa kaka yake, nimepoteza hela nyingi kumgharamia ila amevuruga kila kitu

Na mama yake hakiwa mtetezi wake mkuu

Niliwaita, wote wawili jana na nikawaambia ule wimbo wa baatu buduju,nyie watoyowa baba mmojaa

Kama malizipo, kama manyumba yapoo, nyie ni watoto wafaza mmoja, nyie niwatoto wa dadi mmoja

Nikawashikinisha mikono nakuwataka wapendane, kwani wawo nivijana wangu

Nachoja sana, huyu mudogo pulosip.a ni musubufu saana
Nimepoteza zadi ya miriwonu sabibi kumushugurikiya,ira amevuruda naamama, yakeanamutetea uyu muke wagu mudogo yurewa piri

Wakubwa wezangu, mali zipo ila vijana wangu hawapendani, nakosa furaha.
Umemuuliza Mama yao ni nani baba wa hao watoto? Usikute unaishi na watoto wa wanaume wengine ukidhani ni wako, wanawake hawa kwa kweli Mungu anawaona.
 
Unaweza kuwalaumi watoto lkn makosa yapo kwa wazazi. Watoto wanapozaliwa ubongo wao unakuwa mweupe kama karatasi lkn matendo tunayoyatenda kwao ndio yanayojijenga kwenye ubongo wako.
Katika suala la malezi tunaambia wazazi tuwekeze katika umri wa mtoto kuanzia akiwa na miaka 0 hadi 8 ambapo ubongo wake unakuwa kwa asilimia karibia 90.

Mimi mwanangu nilikuwa nikimnunilia zawadi namnunulia na ziada . Kama pipi basi mbili tukifika nyumbani namwambia hiyo moja ampe mtoto mwenzie. Ile ilimjenga hata alipoenda chekechekea akibeba vitafunwa atawakati wenzie wote kidogokidogo.
Na hata kama tupo barabarani akimkuta hata mtoto mwenzake akiwa na chochote mkononi lazima ampatie.

Matendo yote ambayo wazazi tunayafanya ndo ambayo watoto wanaiga.
 
Kwakweli kama mzazi naumia na nakosa raha sana

Ni vijana wangu, huyu mdogo hana kabisa heshima kwa kaka yake, nimepoteza hela nyingi kumgharamia ila amevuruga kila kitu

Na mama yake hakiwa mtetezi wake mkuu

Niliwaita, wote wawili jana na nikawaambia ule wimbo wa baatu buduju,nyie watoyowa baba mmojaa

Kama malizipo, kama manyumba yapoo, nyie ni watoto wafaza mmoja, nyie niwatoto wa dadi mmoja

Nikawashikinisha mikono nakuwataka wapendane, kwani wawo nivijana wangu

Nachoja sana, huyu mudogo pulosip.a ni musubufu saana
Nimepoteza zadi ya miriwonu sabibi kumushugurikiya,ira amevuruda naamama, yakeanamutetea uyu muke wagu mudogo yurewa piri

Wakubwa wezangu, mali zipo ila vijana wangu hawapendani, nakosa furaha.
Hii thread imeandikwa na watu wawili tofauti? Ni kama alieandika juu ana akili kiasi, na alieandika chini hana hata kitunzia akili
 
Moja ya nyuzi zilizoandikwa harafu unahisi km unamuona muandikaji anavyoumia. Kwa huu uandishi inaonekana ni mtu mwenye uchungu sana...

Mzee pole sana, hao watoto wako inavoonesha hawawezi kuja kupatana na hata wakipatana itakuwa ni ya kinafiki tu. Hakikisha unawaachia wosia ulionyooka kuhusu mgao wa mali zako zote kabla hujafa. Ukifa wanaweza kuja kuuana
Hata akifa pulosipa huyo mdogo wa mke wa pili asipewe mali nyingi atazitapanya
 
Hii thread imeandikwa na watu wawili tofauti? Ni kama alieandika juu ana akili kiasi, na alieandika chini hana hata kitunzia akili
Nadhani ni moderators ndo walikuwa wanajaribu kuiweka sawa... Maana jana iliandikwa km unavyoiona kwa chini kuanzia kwenye heading ila moderators wakaiweka sawa

Jf ni yetu sote, hivyo tusiukosoe mwandiko bali tuchangie kilichoandikwa kwasababu kinaeleweka
 
Kwakweli kama mzazi naumia na nakosa raha sana

Ni vijana wangu, huyu mdogo hana kabisa heshima kwa kaka yake, nimepoteza hela nyingi kumgharamia ila amevuruga kila kitu

Na mama yake hakiwa mtetezi wake mkuu

Niliwaita, wote wawili jana na nikawaambia ule wimbo wa baatu buduju,nyie watoyowa baba mmojaa

Kama malizipo, kama manyumba yapoo, nyie ni watoto wafaza mmoja, nyie niwatoto wa dadi mmoja

Nikawashikinisha mikono nakuwataka wapendane, kwani wawo nivijana wangu

Nachoja sana, huyu mudogo pulosip.a ni musubufu saana
Nimepoteza zadi ya miriwonu sabibi kumushugurikiya,ira amevuruda naamama, yakeanamutetea uyu muke wagu mudogo yurewa piri

Wakubwa wezangu, mali zipo ila vijana wangu hawapendani, nakosa furaha.
Kapime DNA
 
Kwakweli kama mzazi naumia na nakosa raha sana

Ni vijana wangu, huyu mdogo hana kabisa heshima kwa kaka yake, nimepoteza hela nyingi kumgharamia ila amevuruga kila kitu

Na mama yake hakiwa mtetezi wake mkuu

Niliwaita, wote wawili jana na nikawaambia ule wimbo wa baatu buduju,nyie watoyowa baba mmojaa

Kama malizipo, kama manyumba yapoo, nyie ni watoto wafaza mmoja, nyie niwatoto wa dadi mmoja

Nikawashikinisha mikono nakuwataka wapendane, kwani wawo nivijana wangu

Nachoja sana, huyu mudogo pulosip.a ni musubufu saana
Nimepoteza zadi ya miriwonu sabibi kumushugurikiya,ira amevuruda naamama, yakeanamutetea uyu muke wagu mudogo yurewa piri

Wakubwa wezangu, mali zipo ila vijana wangu hawapendani, nakosa furaha.
Wewe ni Mtanzania kweli? Hii lugha gani umeandika hapa?
 
Migration njooni Kuna mrwanda huku kajichanganya
 
Back
Top Bottom