proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Mungu alivyoniumba sijui kakosea huwa nawashangaa hawa wananidiscuss kuhusu nilivyoumbwa wao wanajiona ni wazuri mimi ni wa ARUSHA na Meno yetu yalivyo nashindwa hata kucheka sijui nani atairudisha tabasamu langu.