proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
- Thread starter
- #41
Ngoja nichukue nyundoYatoe yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nichukue nyundoYatoe yote
Kumbe we ulishawahi kuwaona?We unadhani waliotengeneza meno ya dhahabu walipata wapi idea ? Waliangalia meno ya watu wa Arusha yakawavutia wakaona na wao watengeneze kama hayo...
Kwa kweliPole sana kwa hilo. Kwanini ukose Furaha kwasababu ya watu hao?
Nakulaumu kwa kuikaribisha huzuni hali ya kuwa wewe si kilema. Yaani meno tu!!!! Wakikucheka wewe ongeza kuwaonesha meno. Wapo watu wanaoweza kosa Furaha ila si kwa meno ya aina hiyo
ahahaha lolWe unadhani waliotengeneza meno ya dhahabu walipata wapi idea ? Waliangalia meno ya watu wa Arusha yakawavutia wakaona na wao watengeneze kama hayo...
Kweli watanizoea na itakua kawaidaHebu jikubali kwa sababu ndio imeshatokea.
ahahaha lol
kuna sehem wanasafisha yanakua meupe kabisaKweli watanizoea na itakua kawaida
Ndugu nakuja inbox kupata ufafanuzi kidogo wa sms yako! Kuna kitu utaweza kunisaidia kupata ufumbuzi!Jirudishie Tabasamu lako mwenyewe. Hakuna aliyelichukua, zaidi umelificha kwa sababu ya manenonya watu.
Kama utataka zaidi, nenda hospital kasafishe meno, yatakuwa meupe kabisa na utafurahia sana......
Pili, kampani yako iwe watu wa Arusha. Waliozoea aina hiyo ya meno. Hata kama wana meno meupe, lakini yako watayachukulia kawaida maana wameyazoea. Mtafurahi na kucheka pamoja.
Pole sana Mkuu.
Aise akikupa siri nionjesheNdugu nakuja inbox kupata ufafanuzi kidogo wa sms yako! Kuna kitu utaweza kunisaidia kupata ufumbuzi!
We jamaa utakua hunipendiYatoe yote
Kama kuna kaukweli vileWe unadhani waliotengeneza meno ya dhahabu walipata wapi idea ? Waliangalia meno ya watu wa Arusha yakawavutia wakaona na wao watengeneze kama hayo...
Kweli aseePole sana kwa hilo. Kwanini ukose Furaha kwasababu ya watu hao?
Nakulaumu kwa kuikaribisha huzuni hali ya kuwa wewe si kilema. Yaani meno tu!!!! Wakikucheka wewe ongeza kuwaonesha meno. Wapo watu wanaoweza kosa Furaha ila si kwa meno ya aina hiyo
We unadhani waliotengeneza meno ya dhahabu walipata wapi idea ? Waliangalia meno ya watu wa Arusha yakawavutia wakaona na wao watengeneze kama hayo...
Sio yoteAfu unakuta tuna meno ya kchaga afu ma handsome kinoma
Naomba nitumie wasap huo wimbo