Wananiwangia nawasikia, niwafanyaje hawa?

pole sana,siku moja njoo pugu utafute lodge uone mambo,
 
Ukihisi kitu cha tofauti usiku umeshtuka washa taa alafu sikilizia, ukikaa gizani gubigubi washenzi watakuua.
Lakini inaonekana ni tego kabisa kukulipa ubaya uliowafanyia au potential uliyonayo. Kumbuka kote kote ulipofanya vibaya, watu unaofanya nao kazi na malengo uliyo share nao.
 
Wasije kuwa popobawa wanafuata jina lako hilo la kumamoto
 

Jinsi ya kuwadhibiti wachawi na wanga
 
Endelea kuomba sana msaada wa Yesu Kristo, jifunike kwa Damu ya Yesu kila asubuhi na wakati wa kulala. Nenda kwa waombeaji wa kweli wa Yesu Kristo ukaombewe na kuwekwa huru, yote yatakuwa sawa.
 
Kabisa mkuu
 
Nenda kapime presha mkuu .inaonesha unatatizo la presha isije ikakusababishia strock. Sio uchawi nilishawai kuona hii kitu kwa mtu. Wai haraka
Presha inawezekana maana nikiamka kitandani haraka moyo unaenda mbio sana mpka nitulie ndo nakaa sawa
 
Kuna siku watakulimisha, utakuta matope mguuni asubuhi. Wanakutoa nje kupitia ncha ya ukuta, unalazwa kwa tumbo na mgongo wako unatumika kama meza. Wanakuchezea wanavyopenda. Hao watu kama kuna uwezekano wafutwe katika USO wa dunia. Mchana mpo wote ila usiku wapo kazini.
 
Wapuuzi sana
 
Endelea kuomba sana msaada wa Yesu Kristo, jifunike kwa Damu ya Yesu kila asubuhi na wakati wa kulala. Nenda kwa waombeaji wa kweli wa Yesu Kristo ukaombewe na kuwekwa huru, yote yatakuwa sawa.
Amen
 
Kabisa hawa sio watu wazuri shenzi zao
 
Duuh....mi hapa sina cha kuchangia maana sijawahi experience hali hiyo au inayofanana na hiyo ingawa imani yangu ni kuwa hivi vitu huwa na haya mambo mara nyingi huwa yanaenda kwa wanaoyaamini...inawezekana kuanzia chimbuko lako mnaamini katika mambo hayo hivyo jaribu kuongea na ndugu zako vizuri labda kuna kitu wanakuficha pengine hata sio wanga labda ni mambo ya mizimu mizimu kwenye ukoo nalinganisha na simple answers ya mama kwamba uwe unasali nahisi kuna jambo analijua na wewe ndio hulifahamu na hali yenyewe imeanza baada ya wewe kurudi nyumbani na sasa imeendelea mpaka huko uliko means ulienda kuikurupua na sasa inakuandama tofauti na before
 
Wewe ni wakike au wakiume? Ati Kumamoto wacha moto uwake tu hamna namna.
Hewa unayoihisi mdomoni na puani inaakisi jina ulilojipachika kule ni kwa moto kweli kweli ndio maana unakuta kwa mfano mimi ni mweupe lakini mb**o nyeusi yaani imeokwa.
 
Wewe ni wakike au wakiume? Ati Kumamoto wacha moto uwake tu hamna namna.
Hewa unayoihisi mdomoni na puani inaakisi jina ulilojipachika kule ni kwa moto kweli kweli ndio maana unakuta kwa mfano mimi ni mweupe lakini mb**o nyeusi yaani imeokwa.
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…