Wananiwangia nawasikia, niwafanyaje hawa?

Wananiwangia nawasikia, niwafanyaje hawa?

Wakuu

Nimekuja hapa nina andika kwa ghadhabu kidogo 🙁

Kuna watu wanasema Uchawi haupo ila upo na unakera haswa hatukatazi watu kufanya mambo yao ila si mambo ya kuchezeana miili ni jambo linalokera sana

Kuna mambo unafanyiwa usiku ya ajabu ajabu sawa unaamka ila unakuta mwili wako unafanyiwa mambo ya ajabu ajabu yasio kichwa wala miguu

Niende kwenye point:

Kunakipindi nilisafiri nikaenda mkoani kitovuni kwangu uko kumamoto kaskazini,

Wakati nipo uko siku zote nilikuwa naenjoy maisha ya pale ila mauzauza yalianza pale nilipoanza kutembeatembea na kuchangamana na watu ktk vilabu,makanisani n.k

Wakati wa usiku hakuna rangi sijaiona mpka nikawa naona usiku mrefu

Kwanza ilikuwa nikilala nitaota ndoto za ajabu ajabu hazina kichwa wala miguu, alafu nikiamka asubuh nimezisahahu zote sikumbuki hata moja,

Nikamweleza mwenyeji wangu mzazi wangu akanambia uwe unasali usiku,binafsi ninasali ila juu juu tu

Nikafuata ushauri wake nikawa nasali sana, sasa usiku nikiwa nimelala usiku mzito usingiz unakata ilanakuwa nimefumba tu macho,

Sasa nikiwa nn imejiegesha naanza kusiia kama kuna kitu sicha kawaida kinanisogelea mi nakisikilizia tu, huku nasali kimya kimya,

Kinavyonisogelea. Moyo unaanza kwenda spid sana kwa gafla, na joto kupanda zaid,
Hatua ya kwanzab kinakuja puani na mdomoni nasikia kabisa kitu chenye joto kinaingia puani mpaka sinus za pua zina tanuka wakati kinafanya ivo mi ninasali tu kimoyo moyo,

Wakati kinaingia puani na mdomoni moyo unazidi spid zaid na pumz inakuwa nzito kuhema ,joto lamwili linakuwa juu ,kikishatoka puani na mdomoni apo mdomo unakuwa upo wazi ,kinarudi tena najihisi tena kama kinanibana mbavu kinazunguka nami hadi miguuni,

Hapo hapo nahisi kama kitu kinaingizwa mdomoni tumbo linaanza kusokota ,kikimaliza kinakuja kiunoni kina . Ninabana kiuno sana mpaka najihisi kama haja

Hapo hapo naanza kuhisi kama kuna kitu kinavutwa kwenye korodani zangu,kinahangaika haswa mi hapo nasali tu, kinatoka kinarudi tena

Yani nakisikia kabisaa hapa kimeondoka hapa kimerudi tena yani. Kule ni baridi ila jasho linanivuja ,

Sasa asubuh nikamwelezea mzaz akanisisitza kusali.

Ila wakati naenda kujisaidia haja haitoki. Kabisa na sikua na iyo shida

Hali ikawa inaendelea nikazidisha maombi kule nikaamua kusepa maana usiku ulikuwa mrefu mno,kuanzia hapo ninatatizo la kusahau sahau ,

Skip those days njoo leo usiku

Nipo zangu nimelala huwa nachelewa kulala nalala saa saba usiku muda mwingi nakuwa online,

Nimezama kitandani leo nimelala mwenyewe nyumba nzima tangu ijumaa ,siogopi maana najua Yesu yu pamoja nami nikimwomba,

Nikalala vyema hadi saa tisa hivi usingizi ukakata nipo nimejifunika tu ,gafla nje nasikia mbwa wana bweka sana mfululizo sehemu ninayoishi nyumba nyingi zina mbwa ila wapo getini, mbwa wakawa wanabweka sana kuashiria kuna kitu wameona

Kama dk mbili hivi nikaanza hisi kunakitu si cha kawaida kinanisogelea, mbwa kule wakawa wapo kimya sasa awabweki tena

Iko kitu sàsa kama kawaida kikaanza mapicha picha kama niliyoelezea hapo. juu,

Nikawa nakemea sana kinatoka kinarudi tena kinatoka kinarudi nakisikia ,joto linapanda moyo unaenda kasi mnoo kikitoka unapoa, kikirudi unaanza upya,

Mi nakemea tu mara kikasepa kama dk mbili nikasikia mbwa wanabweka tena kikarudi nikahisi mwili unatetemeka mara mkono mara mguuni yani kama kilikuwa kinapambana kuniinua ila mi nikawa mbishi,

Kikasepa tena mbwa wakawa wanabweka mfululizo tena nikajuwa kimeondoka mazima kumbe bado kikaja tena nahisi sasa muda ule kilikuja na nia ya kunifuta kumbukumbu ,nikahisi hewa ya joto puani na mdomoni alafu kichwa kikawa kama kina stimulate nikasonya kikaacha, kikarudia tena nikafumbua macho, kikaacha ,

Kikasepa mbwa wakabweka tena ,mara kunguru wanapita kwa kikundi wanageuza kama mara tatu hivi,

Wapuuzi sana hawa watu wa gizani, nilikuwa naweza kuamka ila niliamua tu kulala nn isije nikakutana na mtu namjua mwisho wa siku nile visu asubuh watu waseme kajiua maana nipo mwenyewe na nimejifungia

Yani nahisi ndo mambo yao kila siku wamechukuwa ufahamu wangu, napoteza kumbukumbu,nadharaulika, sijiamini tena,nipo kama nimevalishwa uhusika usio wa kwangu, wameharib mfumo wa chakula wananilisha vitu vya ajabu,they hunt my potential m&fk,

Washenzi sana sitaki kumjua anaeniwangia ila sitaki aniwangie ,shusheni mbinu za kuwazibiti ambazo ni za kawaida
Mshana Jr mkuu eb njoo huku
 
U
Haya mambo yapo aisee...Kama Mimi tangu usiku wa juzi tunakesha.Mwanangu anapiga kelele tangu juzi usiku kucha anaona kuku na mbwa!sisi hatuwaoni.Na haumwi, kukicha Yuko vizuri tu.Ila naona tofauti kwake tangu hiyo juzi anakuwa mnyonge na hataki kucheza na watoto wenzie,muda wote anataka awe na Mimi au mama yake,Basi.Sijui ngoja tuone usiku wa leo.
Huyo ukileta upuuzi wanamchukua...zubaa ..danganywa na mbinu zisizofanya kazi uone
 
Nusu mtu nusu mwanga mkuu unashida kubwa kuzidi ustahimilivu wako punde utakuwa mateka usiniamini mimi.
Hata ukishindwa haimanishi kuwa ilikuwa ngumu kushinda.
 
Wakuu

Nimekuja hapa nina andika kwa ghadhabu kidogo [emoji853]

Kuna watu wanasema Uchawi haupo ila upo na unakera haswa hatukatazi watu kufanya mambo yao ila si mambo ya kuchezeana miili ni jambo linalokera sana

Kuna mambo unafanyiwa usiku ya ajabu ajabu sawa unaamka ila unakuta mwili wako unafanyiwa mambo ya ajabu ajabu yasio kichwa wala miguu

Niende kwenye point:

Kunakipindi nilisafiri nikaenda mkoani kitovuni kwangu uko kumamoto kaskazini,

Wakati nipo uko siku zote nilikuwa naenjoy maisha ya pale ila mauzauza yalianza pale nilipoanza kutembeatembea na kuchangamana na watu ktk vilabu,makanisani n.k

Wakati wa usiku hakuna rangi sijaiona mpka nikawa naona usiku mrefu

Kwanza ilikuwa nikilala nitaota ndoto za ajabu ajabu hazina kichwa wala miguu, alafu nikiamka asubuh nimezisahahu zote sikumbuki hata moja,

Nikamweleza mwenyeji wangu mzazi wangu akanambia uwe unasali usiku,binafsi ninasali ila juu juu tu

Nikafuata ushauri wake nikawa nasali sana, sasa usiku nikiwa nimelala usiku mzito usingiz unakata ilanakuwa nimefumba tu macho,

Sasa nikiwa nn imejiegesha naanza kusiia kama kuna kitu sicha kawaida kinanisogelea mi nakisikilizia tu, huku nasali kimya kimya,

Kinavyonisogelea. Moyo unaanza kwenda spid sana kwa gafla, na joto kupanda zaid,
Hatua ya kwanzab kinakuja puani na mdomoni nasikia kabisa kitu chenye joto kinaingia puani mpaka sinus za pua zina tanuka wakati kinafanya ivo mi ninasali tu kimoyo moyo,

Wakati kinaingia puani na mdomoni moyo unazidi spid zaid na pumz inakuwa nzito kuhema ,joto lamwili linakuwa juu ,kikishatoka puani na mdomoni apo mdomo unakuwa upo wazi ,kinarudi tena najihisi tena kama kinanibana mbavu kinazunguka nami hadi miguuni,

Hapo hapo nahisi kama kitu kinaingizwa mdomoni tumbo linaanza kusokota ,kikimaliza kinakuja kiunoni kina . Ninabana kiuno sana mpaka najihisi kama haja

Hapo hapo naanza kuhisi kama kuna kitu kinavutwa kwenye korodani zangu,kinahangaika haswa mi hapo nasali tu, kinatoka kinarudi tena

Yani nakisikia kabisaa hapa kimeondoka hapa kimerudi tena yani. Kule ni baridi ila jasho linanivuja ,

Sasa asubuh nikamwelezea mzaz akanisisitza kusali.

Ila wakati naenda kujisaidia haja haitoki. Kabisa na sikua na iyo shida

Hali ikawa inaendelea nikazidisha maombi kule nikaamua kusepa maana usiku ulikuwa mrefu mno,kuanzia hapo ninatatizo la kusahau sahau ,

Skip those days njoo leo usiku

Nipo zangu nimelala huwa nachelewa kulala nalala saa saba usiku muda mwingi nakuwa online,

Nimezama kitandani leo nimelala mwenyewe nyumba nzima tangu ijumaa ,siogopi maana najua Yesu yu pamoja nami nikimwomba,

Nikalala vyema hadi saa tisa hivi usingizi ukakata nipo nimejifunika tu ,gafla nje nasikia mbwa wana bweka sana mfululizo sehemu ninayoishi nyumba nyingi zina mbwa ila wapo getini, mbwa wakawa wanabweka sana kuashiria kuna kitu wameona

Kama dk mbili hivi nikaanza hisi kunakitu si cha kawaida kinanisogelea, mbwa kule wakawa wapo kimya sasa awabweki tena

Iko kitu sàsa kama kawaida kikaanza mapicha picha kama niliyoelezea hapo. juu,

Nikawa nakemea sana kinatoka kinarudi tena kinatoka kinarudi nakisikia ,joto linapanda moyo unaenda kasi mnoo kikitoka unapoa, kikirudi unaanza upya,

Mi nakemea tu mara kikasepa kama dk mbili nikasikia mbwa wanabweka tena kikarudi nikahisi mwili unatetemeka mara mkono mara mguuni yani kama kilikuwa kinapambana kuniinua ila mi nikawa mbishi,

Kikasepa tena mbwa wakawa wanabweka mfululizo tena nikajuwa kimeondoka mazima kumbe bado kikaja tena nahisi sasa muda ule kilikuja na nia ya kunifuta kumbukumbu ,nikahisi hewa ya joto puani na mdomoni alafu kichwa kikawa kama kina stimulate nikasonya kikaacha, kikarudia tena nikafumbua macho, kikaacha ,

Kikasepa mbwa wakabweka tena ,mara kunguru wanapita kwa kikundi wanageuza kama mara tatu hivi,

Wapuuzi sana hawa watu wa gizani, nilikuwa naweza kuamka ila niliamua tu kulala nn isije nikakutana na mtu namjua mwisho wa siku nile visu asubuh watu waseme kajiua maana nipo mwenyewe na nimejifungia

Yani nahisi ndo mambo yao kila siku wamechukuwa ufahamu wangu, napoteza kumbukumbu,nadharaulika, sijiamini tena,nipo kama nimevalishwa uhusika usio wa kwangu, wameharib mfumo wa chakula wananilisha vitu vya ajabu,they hunt my potential m&fk,

Washenzi sana sitaki kumjua anaeniwangia ila sitaki aniwangie ,shusheni mbinu za kuwazibiti ambazo ni za kawaida
Huko ulikoenda enda mkoani hasa hasa hapo nyumbani kwenu kuna shida endelea kuwa chekea tu watakumaliza,
 
Nenda tu kwa sangoma period....!!izo njia zingine niza kutuliza tu
 
Back
Top Bottom