Wananiwangia nawasikia, niwafanyaje hawa?

Mshana Jr mkuu eb njoo huku
 
U Huyo ukileta upuuzi wanamchukua...zubaa ..danganywa na mbinu zisizofanya kazi uone
 
Nusu mtu nusu mwanga mkuu unashida kubwa kuzidi ustahimilivu wako punde utakuwa mateka usiniamini mimi.
Hata ukishindwa haimanishi kuwa ilikuwa ngumu kushinda.
 
Huko ulikoenda enda mkoani hasa hasa hapo nyumbani kwenu kuna shida endelea kuwa chekea tu watakumaliza,
 
Nenda tu kwa sangoma period....!!izo njia zingine niza kutuliza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…