Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Tuache asee sisi tunaenda Zanzibar sio ChatuHifadhi hii ilianzishwa wakati wa awamu ya tano, wanyama wakasafirishwa kutoka maeneo mbalimbali kuelekea Chato kwenye kitovu cha utalii.
Muda umepita, hifadhi hii haisikiki tena. Wadau wanaulizia bado ipo, au wanyama washarudi kwenye sehemu zao za asili?View attachment 3224992
Imekufa kama zinavyokufa zingineHifadhi hii ilianzishwa wakati wa awamu ya tano, wanyama wakasafirishwa kutoka maeneo mbalimbali kuelekea Chato kwenye kitovu cha utalii.
Muda umepita, hifadhi hii haisikiki tena. Wadau wanaulizia bado ipo, au wanyama washarudi kwenye sehemu zao za asili?View attachment 3224992
Ipo vema sana. Unacheka kinafiq unafikiri imekufa. Nenda kajionee😆😆😆😆😆
Promo hamna ila ipo na imadunda.Hifadhi hii ilianzishwa wakati wa awamu ya tano, wanyama wakasafirishwa kutoka maeneo mbalimbali kuelekea Chato kwenye kitovu cha utalii.
Muda umepita, hifadhi hii haisikiki tena. Wadau wanaulizia bado ipo, au wanyama washarudi kwenye sehemu zao za asili?View attachment 3224992
Zina Taratibu Zake, Kuanzia Pori La Akiba, Mfano Morogoro Unapoelekea ChalinzeHifadhi za Taifa Huwa zinatengenezwa au zinatokeaga Naturally!
MzilankendeWee acha tu, hii miradi ya Chato ililigarimu sana Taifa. Ila ndio hivyo marehemu hana jinai.
Nilikuwa nachekeleaIpo vema sana. Unacheka kinafiq unafikiri imekufa. Nenda kajionee