Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
- Thread starter
-
- #21
πππ Ahaa sawa nimekusoma mkuu natumai muda sio mrefu naweza kulibadilishaHapana simaanishi hivyo sema tu hilo jila lako lina sound negative , jambo ambalo kwa mtazamo wa kwaida tu umaskini sio jambo jema la kuji shikiza nao , usijali sana inawezekana nimeshalewa labda .
ahaa ni vigezo vipi?matangazo ya platform yana vigezo ambavyo lazima ufikie
Bonge la NyauHilo jina itakuchukua miaka mingi kutoboa.
Jina walilokupa wazazi wako huwa halina madhara Ila ulilojipa wewe lina madhara kuwa makini sana
youtube unahitaji 1,000 subscribers na uwe umetazamwa kwa jumla ya masaa 4,000 ndani ya mwaka ama uwe umepata views 10,000,000 kwa shorts ndani ya siku 90ahaa ni vigezo vipi?
Ahaa sasa nimepata mwanga kiasi, shukrani mkuu kwa mchango wako.youtube unahitaji 500 subscribers na uwe umetazamwa kwa jumla ya masaa 2,000
instagram unahitaji followers 10,000 kwenye account ya business au creator
kwa X.com, unahitaji 500 followers ambao ni verifiedπ, maudhui yako yawe yametazamwa na watu 5,000,000 ndani ya miezi 3, na uwe umelipia premium au verified organization
kwa tiktok nasikia kuna vizawadi vinatumwa kwenye livestream, fuatilia... ila kwa bongo hawana mfumo wa kulipa
kwa facebook, page inatakiwa iwe na followers angalau 500, na iwe na umri wa angalau siku 90
nimeedit hapo kwenye youtube, soma tenaAhaa sasa nimepata mwanga kiasi, shukrani mkuu kwa mchango wako.
na hapo kwenye X, hao watazamaji wanaotakiwa ni impressions, yaani wale wanaooneshwa maudhui yako wakati wanaperuzi X,Ahaa sasa nimepata mwanga kiasi, shukrani mkuu kwa mchango wako.
Poa mkuu nashukuru nimepata pa kuanzia, nadhani sasa naweza kuanza kuchukua hatua kwa vitendo kwa yale ambayo nayawaza kichwaninimeedit hapo kwenye youtube, soma tena
halafu hivyo ni vigezo vya muhimu tu, kuna masharti mengine utaelekezwa ufuate
Ahaa hapa nachukua picha ya maelekezo haya yote nadhani yatakuwa yananisaidia kuyarejelea katika hatua nitakazokuwa napigana hapo kwenye X, hao watazamaji wanaotakiwa ni impressions, yaani wale wanaooneshwa maudhui yako wakati wanaperuzi X,
wanaweza wakawa wamebofya kuangalia wakakupa views, au wakaendelea kupita tu
Mzee wa kujipakulia minyama πΉπΉTumia jina lako kamili, inakuwa ni rahisi kupata influence ya watu. Kuna member yupo humu anaishi UK aliona thread yangu na akawa anahitaji msaada wa mambo yake.
Kwa sababu aliangalia jina langu lina blue tick akaniamini na Kanishirisha mambo yake na akawa anatuma mpaka hela kutoka UK.
Sio huyo tu wapo wengi na la mwisho zingatia na unachoandika humu. Unaweza ukatengeneza Heshima au ukaonekana ni kama wale wale tu......
Poa poa KiongoziKujibu swali lako na kwa manufaa ya watu wengine Ninaandika uzi sasa hivi nitakutag!
bora umekuja mkuu, tuambie tiktok inalipajeMzee wa kujipakulia minyama πΉπΉ
Kaka manyanza naomba afu tatu ππ€
Mimi naingia kumuangalia kasongo, sijui hata km wanalipwa πΉπΉπΉbora umekuja mkuu, tuambie tiktok inalipaje
nilitembelea ile account yako ya tiktok nikakuta imedamshi kwelikweli
πππKumbe watu na account zao humu na wala hawasemi, usikute unapotoa maelekezo kuhusu tiktok ana kuzoom tubora umekuja mkuu, tuambie tiktok inalipaje
nilitembelea ile account yako ya tiktok nikakuta imedamshi kwelikweli
Mh ila ni kazi ya kujitole hasa, sema kwa kuwa huwa ni kitu cha ziada haisumbui sana.Wengine wanafanya Hadi video elfu unakuta bado hawajaenda na Kuna wengine wakigusa wanaenda kikubwa NI kutokata tamaaa na kuwa na content za kutosha...unapokuwa maatufu dili ndio zinafunguka watu ktangaza kazi biashara zao kupitia wewe...na kinacholipa zaidi NI kuwa balozi wa kitu Fulani...
Shimba ya Buyenze mshamba_hachekwiSikushauri kuendelea kutumia hilo jina lako la Kijana masikini
Lina sound negative
Imani kivipi?Umeingia kwenye imani Tena mkuu!