Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nakumbuka Polepole alitoa kauli akiwaonya wale wanaotaka kugombea ubunge huko wakiwa ni wateule kuwa huko ni kuwa na tamaa na akiwaonya juu ya kufanya hivyo huku akisema yeye aliongea kwa niaba ya anaaewateua.
Nadhani hata mteuaji mwenyewe alitoa onyo kama hilo hivi karibuni na wote mnajua jinsi wanavyomtii na kumuabudu.
Sasa katika mazingira haya yakiwemo na ya ugumu wa ajira,mnapoona watu wameacha vyeo vyao huko wakitambua hatari ya kufanya hivyo, mjue tu watu hawa hawaendi kubahatisha, bali kila kitu kikiko under control na wakishaingia mjengoni, wanakwenda kuunda kikosi kitakachokuwa na kazi maalumu,kazi ambayo mtakuja kuiona wakati ukifika.
Time will tell.
Nadhani hata mteuaji mwenyewe alitoa onyo kama hilo hivi karibuni na wote mnajua jinsi wanavyomtii na kumuabudu.
Sasa katika mazingira haya yakiwemo na ya ugumu wa ajira,mnapoona watu wameacha vyeo vyao huko wakitambua hatari ya kufanya hivyo, mjue tu watu hawa hawaendi kubahatisha, bali kila kitu kikiko under control na wakishaingia mjengoni, wanakwenda kuunda kikosi kitakachokuwa na kazi maalumu,kazi ambayo mtakuja kuiona wakati ukifika.
Time will tell.