Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Kama mpaka leo kuna watanzania hawajui kwamba Nyerere yu hai au la basi Serikali imefeli kwa kiasi kikubwa.
Nakubaliana na wewe 110%! Your line of reasoning would make the following statement just as valid:
"Kama mpaka leo kuna watanzania hawajui malaria inatokana na mbu basi Serikali imefeli kwa kiasi kikubwa."
"Kama mpaka leo kuna watanzania hawajui kwamba 1+1=2 basi Serikali imefeli kwa kiasi kikubwa."